na huyo mzenj kwenye signature itakuwaje Masa ?Uchaguzi na uchakachuaji umekwisha hahahahahahhhh
na huyo mzenj kwenye signature itakuwaje Masa ?
Sasa kazi za nje sindo zinaleta maendeleo?Sitaki baba mchungaji aelemewe na majukumu!
Uzuri na yeye hataki wewe upate tabu wewe ukiwa zenji kazi yako kupika na kupakua
Kwahiyo umeridhia kuwa nyumba ndogo ?Hahahaha!Unataka kumuuzia mchungaji kesi?
Mpwa mchungaji anakuomba ukalale sasa!
Kwahiyo umeridhia kuwa nyumba ndogo ?
Baba mchungji kisa chakumfukuza!
Basi ntajitahidi..kupika,kupakua,kulisha,kuogesha ndo kazi zangu mpya kwanzia sasa!
Baba mchungji kisa chakumfukuza!
Upo Roto unatafuta shida ya kufungiwa na Kanisa. U ve been warned
Sura yako ndio hiyo kwenye avatar, mmmmhhhh see uView attachment 19648