Mr disprin
Senior Member
- Jan 16, 2018
- 197
- 88
Wacha kunivunja mbavuWenye bahati zao kweli wanabahatika na siyo Sisi wengine ambao ukibahatika kupata Zawadi kwa Demu wako basi jua ni ya Gono au Kaswende pekee kama si na ile ya Dally Kimoko.
Wacha kunivunja mbavuWenye bahati zao kweli wanabahatika na siyo Sisi wengine ambao ukibahatika kupata Zawadi kwa Demu wako basi jua ni ya Gono au Kaswende pekee kama si na ile ya Dally Kimoko.
Hao achungaji hawastahiki sadaka. Maana ni wavivu hawafanyi kazi.wanakopa pesa kujwnga Kanisa kama kitega uchumi tu, sio watu wazuri kiwapa hela.Hata kwa maskin pia hua natoa
Kama unatoa kwa maskini basi inatosha, Viongozi wa Dini lazima wafanye kazi nyengine kuendesha maisha yao,kuhubiri Neno la Mungu malipo yako yapo kwa Mungu.Hata kwa maskin pia hua natoa
Ha ha hanhahahaha Harmonize ni bingwa wa fix hahaha hivi huyo binti bado hajajifungua tuu?
Ukipata jibu nishtue tafadhaliIle noah aliyomuahidi shishi baby ameshapeleka??
Wenye bahati zao kweli wanabahatika na siyo Sisi wengine ambao ukibahatika kupata Zawadi kwa Demu wako basi jua ni ya Gono au Kaswende pekee kama si na ile ya Dally Kimoko.
I I Hey assessedWenye bahati zao kweli wanabahatika na siyo Sisi wengine ambao ukibahatika kupata Zawadi kwa Demu wako basi jua ni ya Gono au Kaswende pekee kama si na ile ya Dally Kimoko.
Vumilia bro utapata zawadi zaidi ya harmonizeWenye bahati zao kweli wanabahatika na siyo Sisi wengine ambao ukibahatika kupata Zawadi kwa Demu wako basi jua ni ya Gono au Kaswende pekee kama si na ile ya Dally Kimoko.
Hakuna kitu kama hicho...yeye amelipia vat huko hapa anavaa tu...ni sawa na kununua suruali yako ukaanza kuivaa halafu udaiwe vatNa habar za mimba
Akija nayo huku TRA wanamuhusu. Million 600, VAT 18% ni kama m108. Sasa amfahamishe kabisa aliyempa iyo zawadi aje na million 108 mkononi.
Nyumba ya mungu na nabii titto si bora aitupe tu hiyo pesaHizo pesa si angepeleka kwa nyumba ya Mungu tu
Vumilia bro utapata zawadi zaidi ya harmonize
haaa hahaaa mijitu miongo mpka imepitiliza nje ya neno lenyewe linaloitwa uwongo"""saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar