mathcom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,396
- 519
Nafurahi kama wewe unatosheka, kwa sasa nipo mbali kidoogo na tz ila nikirudi nitaku PM..ujue i was on the phone yooo.
Nimekuwaje mwepesi sasa.
Njoo nikufundishe utajua natosheka au sitosheki
Nafurahi kama wewe unatosheka, kwa sasa nipo mbali kidoogo na tz ila nikirudi nitaku PM..ujue i was on the phone yooo.
Nimekuwaje mwepesi sasa.
Njoo nikufundishe utajua natosheka au sitosheki
aaaaaa twafadhali najimunisa inafika saa 7 usiku huyu atakuwa kwa mwaka huo alipanda Allys au muro au princess shabaha ndo yalikuwa yanabamba
he he he halo ya UNHCR alisahau kuwa hata huko wafagiaji na watengeneza chai wapo.
Halooo ya vitawi vya UN wengine wapo humu kila siku kupiga mizinga
ahahaaa ila fb unaweza kucoment kwa mtu hata kama sio friend wako...kuna watu mi sio marafiki zangu but naweza kucoment kwenye picha zao inategemea
bwana facebook &UNHCR na sexphone imeleta mambo humu.
Sasa bibie kakutana na nyanya chungu moja tena imesinyaaa mbayaa na size ya mtoto wa chekechea(hapa unaweza ukala chabo kwa mtoto mdogo wa 2ys kupata picha ya size)
Ila bado haijaisha itaendelea
Nafurahi kama wewe unatosheka, kwa sasa nipo mbali kidoogo na tz ila nikirudi nitaku PM..
Natafakar usafiri alioutumia hadi saa3 ucku ndo akakwambia amefika ukweli hakuja na ndege alipakia Zuberi huo ndo muda wa mabasi kuwasili .endelea na
Kwani ukipm wakati ukiwa abroad zinakugomea? Utuletee dhawadi mwaya. Utarudi na ndege?
asante sana na team phone sex ndo aina mpya ya simu?
MMHH.'tangu niingie hapa jamvini sijawaiona, duu jamaa ana clitoris. Ila na wewe kwa nini ukutumia hata condom una hatari nenda kapime ss.
koku koku au alitoka kigoma na treniHa haa bado nazidi kucheka sana laaah