Mpenzi hayana Uzee, Uzee mwisho chalinze................

Safi sana mkuu, hadi hapo wametiza kiapo, sio ndoa za siku hizi binti akiolewa mahari unaweka benki mkuu, unasikilizia hadi miezi sita ipite.
 
Safi sana mkuu, hadi hapo wametiza kiapo, sio ndoa za siku hizi binti akiolewa mahari unaweka benki mkuu, unasikilizia hadi miezi sita ipite.

Sana tu mkuu, ndio maana ndoa za siku hizi mwaka mmoja watu wanafanya anniversary....
 
Ndoa zinazoishia hizo.. Natamani kungekuwa na utaratibu maalumu wa kuwasaidia wazee kama hawa kuishi maisha yao yaliobakia kwa raha na mustarehe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…