Mpenzi hayana Uzee, Uzee mwisho chalinze................

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
10418337_1096585567022527_8569904237710745199_n.png
 
Safi sana mkuu, hadi hapo wametiza kiapo, sio ndoa za siku hizi binti akiolewa mahari unaweka benki mkuu, unasikilizia hadi miezi sita ipite.
 
Safi sana mkuu, hadi hapo wametiza kiapo, sio ndoa za siku hizi binti akiolewa mahari unaweka benki mkuu, unasikilizia hadi miezi sita ipite.

Sana tu mkuu, ndio maana ndoa za siku hizi mwaka mmoja watu wanafanya anniversary....
 
Ndoa zinazoishia hizo.. Natamani kungekuwa na utaratibu maalumu wa kuwasaidia wazee kama hawa kuishi maisha yao yaliobakia kwa raha na mustarehe..
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom