Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
Safi sana mkuu, hadi hapo wametiza kiapo, sio ndoa za siku hizi binti akiolewa mahari unaweka benki mkuu, unasikilizia hadi miezi sita ipite.
Sana tu mkuu, ndio maana ndoa za siku hizi mwaka mmoja watu wanafanya anniversary....
raha sana................
Sana tu mkuu, ndio maana ndoa za siku hizi mwaka mmoja watu wanafanya anniversary....