Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

Vijana wamevurugwa hadi sio poa, sijui ndo madhara ya milio ya risasi na mabomu yameanza kufanya kazi. Lol.

Kazi ipoo!
 
Mmh! We kijana mimi na uhuni wangu wote lakini sijawahi kuwaza hivyo, hapo kujitolea miezi 6 kijana umewazia matraco mwanamke gani na wa dunia gani wa kufanya hivyo!
 
Ifike mahali suala la kuoa kisheria liliangalie kwa ukaribu, mke pia ajitolee walau miezi 6.

Kama ilivyo kuomba kazi, kwanza ujitolee wakuangalie..🫵🏾
Madhara ya kufuata matamanio yko badala ya sheria za Muumba
 
Back
Top Bottom