Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aweke mwiko wa moto ataachaHeri ya weekend wadau!!
Iko hivi, miezi kadhaa imepita sasa Niko na uhusiano na binti mmoja hapa mjini! Sijawahi kubishana nae, yaani kwa kifupi tuko poa. Issue ni kwamba huyu binti akishtuka kidogo toka usingizin au akijigeuza tu, anatafuna meno balaa!!
Siku ya kwanza imetokea hiyo hali nililala nae kwa tahadhari lakini nilijipa moyo labda imetokea kwa muda tu.
Sasa kwa mara nyingine tena naona hali iko vile vile, nilijaribu kumashtua ndugu VP unakula nn usiku huu? Alishtuka akatulia, nilimwambia achama mdomo, sikuona kitu zaid ya meno na ulimi tu!
Asubuhi yake ali mind lakini tukayamaliza. Ukimsikiliza kwa karibu ni kama anakula rubber hivi. Yaani noma tupu. Sijui kama wenzangu mshakutana na tukio la aina hii.
Nipeni ushauri kwa sababu sijui Siku nyingine itakuwaje. Kama kuna dawa nitashukuru, nilimshauri aende hospital akasema haumwi, hivyo haoni haja ya kwenda huko.
Ni uhusiano ambao hauna muda mrefu..
Ushauri wako tafadhali.....
mdomoni mkuu alafu anaung'ata ivi itaisha mdogo wng alikua ivo ameachaHmmmm! Mwiko wa moto auweke wapi?
mdomoni mkuu alafu anaung'ata ivi itaisha mdogo wng alikua ivo ameacha
HahahahahahahaHmmmm! Okay sasa mtu kalala kafumba mdomo yuko busy anatafuna meno, sijui hapo mwiko utaupitishaji ili uingie mdomoni. Na varangati lake la kutaka kumuingiza mwiko wa moto mdomoni, OGOPA!
Acha umbea jenga hoja kwa mada husika..
kla nkivuta pcha inakuja komedHmmmm! Okay sasa mtu kalala kafumba mdomo yuko busy anatafuna meno, sijui hapo mwiko utaupitishaji ili uingie mdomoni. Na varangati lake la kutaka kumuingiza mwiko wa moto mdomoni, OGOPA!