Mpenzi anatafuna meno usiku, inaniogopesha sana

Hali ya kutafuna meno inaweza kuwa ni tabia lakini.wakati.mwingine ni mambo ya ulimwengu wa kiroho.Ukiangalia hao watu.wengi wao sio wote wanatabia zisizo eleweka au wana magonjwa yanawasumbua.Unatakiwa uingie kwenye maombi na uwe unasali sana kabla ya kulala.Hiyo ndio njia nyingine wachawi wanatimia kuwalisha vitu na wengi hawana maendeleo hata kidogo.Najua hammtakubaliaa nahilo ila ndio ukweli wenyewe and this is from my own experience.Usiku familia ilikuwa wanatafuna meno.nikawa nashtuka usiku nasali kwa ajili.yao,hiyo kitu imeisha kwani siku moja nikaona kwenye maono mtoto wangu.analishwa nikakemea na ikaisha
 
Heri ya weekend wadau!!

Iko hivi, miezi kadhaa imepita sasa Niko na uhusiano na binti mmoja hapa mjini! Sijawahi kubishana nae, yaani kwa kifupi tuko poa. Issue ni kwamba huyu binti akishtuka kidogo toka usingizin au akijigeuza tu, anatafuna meno balaa!!

Siku ya kwanza imetokea hiyo hali nililala nae kwa tahadhari lakini nilijipa moyo labda imetokea kwa muda tu.

Sasa kwa mara nyingine tena naona hali iko vile vile, nilijaribu kumashtua ndugu VP unakula nn usiku huu? Alishtuka akatulia, nilimwambia achama mdomo, sikuona kitu zaid ya meno na ulimi tu!

Asubuhi yake ali mind lakini tukayamaliza. Ukimsikiliza kwa karibu ni kama anakula rubber hivi. Yaani noma tupu. Sijui kama wenzangu mshakutana na tukio la aina hii.

Nipeni ushauri kwa sababu sijui Siku nyingine itakuwaje. Kama kuna dawa nitashukuru, nilimshauri aende hospital akasema haumwi, hivyo haoni haja ya kwenda huko.

Ni uhusiano ambao hauna muda mrefu..
Ushauri wako tafadhali.....
aweke mwiko wa moto ataacha
 
Si kitu cha kukufanya umuogope. Ukimsikia anatafuna meno mstue tu ili aache japo anaweza kurudia tena baada ya muda mfupi.
 
Hmmmm! Okay sasa mtu kalala kafumba mdomo yuko busy anatafuna meno, sijui hapo mwiko utaupitishaji ili uingie mdomoni. Na varangati lake la kutaka kumuingiza mwiko wa moto mdomoni, OGOPA!
kla nkivuta pcha inakuja komed
 
Mkuu
kaitamarogo bora ungeongea hapa hapa tu kwa afaida ya wote kuliko kwenda pm na jamaa hapo!
Au ni ya siri au biashara??
 
Salama wadau? hii si tatizo bali ni ishu inatokana na msongo wa mawazo kwa, kitaalamu/kisaikolojia inaitwa TEETH GRINDING so Inapokuwa mtu amelala na ana tabia hiyo tajwa mdomo wake huwa hauchezi kama unavyosikia anavyosugua meno ni ishu ambayo inawiana na mtu anayeweweseka inafika muda inakata kama ni mtoto ana tabia hii mpunguzie michezo mingi then ataacha.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom