Mpenz aomba nimgombeze....

Mpenz aomba nimgombeze....

mutahappy

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
529
Reaction score
188
Wasalaam wanaJf.

Npo kwenye mahusiano na msichana kwa takriban mwaka mzima.
Kiukwel mimi napenda sana polite language and kindness sio kwa mpenz wangu tu hata kwa watu wengine.

Napenda sana kufanya kitu ambacho nikifanyiwa sitaumia na huwa nachukia sana lugha ya ukari na sipend kuitumia hasa kwa mpenz wangu.

Tumekuwa tukikwazana na mpenz wangu lakin mara zote huwa naongea nae kwa upole na upendo na mambo uisha vzri.

Ni kama mara mbili au tatu mpenz wangu amekuwa akiniomba seriously kuwa angalau nimgombeze siku moja akinikosea na atajìsikia raha na kuona nampenda sana.

Kiukwel mimi sipend na siwez. je, nifanyeje
 
Ongeza lugha ya ukali kidogo pale anapokukosea badala ya kuwa polite vinginevyo anaweza kuingia mitini kisa tu, "Mpenzi wangu ni mpole kupita kiasi hata nikimkosea hanigombezi nimeamua kuachana naye."
 
Huyo mkurya?

Zipo aina hiyo za personality za watu wanaopenda kuwa controlled. She may be one of them.

Huyo anaona ukiwa mpole ni kama uko weak na subconciously anahisi kuwa you lack the capacity to protect her. Katika species nyingi including homo sapiens males huwa na role ya kuprotect females. Mwenzio anahisi role hiyo itakapotokea kuifullfil hutaweza.

Ushauri: Hakuna mtu anayependa kugombezwa kila mara. Kama umeamua kuanza kuwa unamgombeza, pima kiwango kinachofaa cha kumgopmbeza. Usizidishe...
 
He he he, id yako inajieleza vizuri kabisa, kumbe 'mutahappy' ni mkaka?
Ukiona hivyo ujue keshaanza kukuona zoba na haoni kama uko 'firm'

Kiukweli hapo kakwambia 'Be a man' in a polite way na wewe bado unashangaa shangaa. Utamwagwa sasa hivi.
 
Ha ha ha. Imenibd kucheka kidogo kwa kwel. Kumbe "kugombezwa" ni kpimo cha upendo siku hz? Anyway, inabid bas mara moja moja 'pale inapobid' uwe unamgombeza. Nadhan huw unajpooza kwanza kabla hujaongea. Bas ili kumridhisha inabid ucsubir had upoe, unamporomokea hvyohvyo mzee. Ingawa mmmmh, waweza kuwa mbogo (kama una hasira sana), ila sio mbayyya. C "anahitaji" banaaa
 
She is just 'macho'

Huyo mkurya?

Zipo aina hiyo za personality za watu wanaopenda kuwa controlled. She may be one of them.

Huyo anaona ukiwa mpole ni kama uko weak na subconciously anahisi kuwa you lack the capacity to protect her. Katika species nyingi including homo sapiens males huwa na role ya kuprotect females. Mwenzio anahisi role hiyo itakapotokea kuifullfil hutaweza.

Ushauri: Hakuna mtu anayependa kugombezwa kila mara. Kama umeamua kuanza kuwa unamgombeza, pima kiwango kinachofaa cha kumgopmbeza. Usizidishe...
 
Ongeza lugha ya ukali kidogo pale anapokukosea badala ya kuwa polite vinginevyo anaweza kuingia mitini kisa tu, "Mpenzi wangu ni mpole kupita kiasi hata nikimkosea hanigombezi nimeamua kuachana naye."

mmmmh, wanawake sie sijui tunataka nini! akikaripiwa pia atalalamika siku hizi unanikaripia hunipendi. lol
 
ushauri wangu si anataka kugombezwa we mpige kabisa yan mkung'ute kisawasawa hapo roho yake itatulia
 
Huyo mkurya?

Zipo aina hiyo za personality za watu wanaopenda kuwa controlled. She may be one of them.

Huyo anaona ukiwa mpole ni kama uko weak na subconciously anahisi kuwa you lack the capacity to protect her. Katika species nyingi including homo sapiens males huwa na role ya kuprotect females. Mwenzio anahisi role hiyo itakapotokea kuifullfil hutaweza.

Ushauri: Hakuna mtu anayependa kugombezwa kila mara. Kama umeamua kuanza kuwa unamgombeza, pima kiwango kinachofaa cha kumgopmbeza. Usizidishe...

asante kwa ushauri mzur.
 
Ha ha ha. Imenibd kucheka kidogo kwa kwel. Kumbe "kugombezwa" ni kpimo cha upendo siku hz? Anyway, inabid bas mara moja moja 'pale inapobid' uwe unamgombeza. Nadhan huw unajpooza kwanza kabla hujaongea. Bas ili kumridhisha inabid ucsubir had upoe, unamporomokea hvyohvyo mzee. Ingawa mmmmh, waweza kuwa mbogo (kama una hasira sana), ila sio mbayyya. C "anahitaji" banaaa

uko sawa kabsa ndugu.
Huwa nacontrol hasira kwa kukaa kimya then uamzi wowote nafanya nikisha poa
 
Huyo mkurya?

Zipo aina hiyo za personality za watu wanaopenda kuwa controlled. She may be one of them.

Huyo anaona ukiwa mpole ni kama uko weak na subconciously anahisi kuwa you lack the capacity to protect her. Katika species nyingi including homo sapiens males huwa na role ya kuprotect females. Mwenzio anahisi role hiyo itakapotokea kuifullfil hutaweza.

Ushauri: Hakuna mtu anayependa kugombezwa kila mara. Kama umeamua kuanza kuwa unamgombeza, pima kiwango kinachofaa cha kumgopmbeza. Usizidishe...

Hahahahahahaaaaaaaaa lakini mbona wewe mchokozi sana jamani, ina maana kila anaetaka agombezwe ni mkurya? any way mwanaume mpoleee sana nae ni kero.
 
Ongeza lugha ya ukali kidogo pale anapokukosea badala ya kuwa polite vinginevyo anaweza kuingia mitini kisa tu, "Mpenzi wangu ni mpole kupita kiasi hata nikimkosea hanigombezi nimeamua kuachana naye."

I'll try it.thank u
 
Hahahahahahaaaaaaaaa lakini mbona wewe mchokozi sana jamani, ina maana kila anaetaka agombezwe ni mkurya? any way mwanaume mpoleee sana nae ni kero.

mi si mpole kama unavyo dhan ila naamin mwenzangu akikosea na mweleza kwa upole na upendo kwan naamin wote hatujakamilika na tunamapungufu na kujifanya mkal hakuwez ondoa tabia au kitu kibaya anachofanya ila kwa kumueleka na kumfundisha hikiwezekana.
 
Wanawake wanapenda wanaume wenye misimamo. Man up and be firm sura ya mbuzi, chicks dig that stuff. Try it.
 
mmmmh, wanawake sie sijui tunataka nini! akikaripiwa pia atalalamika siku hizi unanikaripia hunipendi. lol
Sisi wa kwa akina Mwita, Chacha, Marwa, Wambura, Mwikwabe, Robhi, Gati na Wankuru, bila kipondo cha nguvu angalao mara 2 kwa wiki haturidhiki kuwa tunapendwa. Ndiyo maana hata wakati wa ndoa huwa mwanaume anakabidhiwa rungu na sime ya "kudumishia ndoa"
 
Sisi wa kwa akina Mwita, Chacha, Marwa, Wambura, Mwikwabe, Robhi, Gati na Wankuru, bila kipondo cha nguvu angalao mara 2 kwa wiki haturidhiki kuwa tunapendwa. Ndiyo maana hata wakati wa ndoa huwa mwanaume anakabidhiwa rungu na sime ya "kudumishia ndoa"

duh, umenichekesha kwel.
Thank u.
 
Back
Top Bottom