‘Mpeni Sioi ubunge mumfute machozi’

Ebo!, yaani tumfute machozi kwa kumpa kura?. Kwanini hajatulia nyumbani arobaini iishe ya mzazi wake?. Halafu huyo Lusinde akili yake inabebeka kwenye kiganja. Awe anatafuta maneno ya kuongea...kwa mfano tumpe kura ili akapate mshahara. Hatujagui watu kwenda bungeni wapate mshahara! Kuna mtu amenidokeza kwamba Sioi katika mazishi ya babake hakutoa hata tone la chozi. Au ndio tuseme alikua analia kiume?
 

Tukifika mahala pa kupeana majukumu ya kitaifa kama fadhila basi taifa limeangamia. Tumehama kwenye sifa na vipaumbele vya msingi kama kigezo cha mtu kuchaguliwa, tumehamia kwenye ushikaji na fadhila.
 
CCM wameshindwa sera, sasa wanaomba huruma ya wana Arumeru Mashariki. Ni aibu sana eti Sioi apate mshahara wa kulea familia, kwa hiyo ishu si kero za wananchi bali ni Kufuta machozi, kutunza familia na Kumfurahisha Mk..were,Dah ukistaajabu ya Mkapa utayaona ya Lusinde!
 
Nataka kujua CCM wanatumia vigezo gani kupata majina ya wapiga kampeni wake.
Kwa kweli kumtaka Lusinde na wenzake wengi watafakari kabla ya kunena ni kuwaonea .Wapiga porojo ndani ya ccm wamegawanyika katika makundi makuu mawiIi:kundi la kwanza ni lile linalojumuisha ndugu zetu waliopata bahati ya kwenda shule isipokuwa baada ya kuwa ktk tabaka tawala na nyonyaji wamejikuta wamelewa chakari mvinyo wa madaraka...kundi la pili ni wale wenzetu ambao hawakupata kabisa bahati ya kukaa madarasani kujipatia maarifa na ustaarabu unaoambatana na mchakato huo.
Kwa wale waliokatika kundi la kwanza wanaweza kurejesha uwezo wao wa kufikiri iwapo tu watabadili nia zao na kuachana na siasa za ghiliba wanazoziamini na kuzifuata..wale wote wanaoangukia ktk kundi la pili(hapa ndipo alipo Lusinde) habari njema kwao ni kuwa elimu haina mwisho...wanaweza kujiunga na kisomo cha watu wazima au waanzishe mchakato wa kurekebisha sheria bungeni ili waruhusiwe kupata elimu rasmi darasani na wadogo au watoto wao kama wafanyavyo jirani zetu Kenya.
 
Lusinde is stupid. Atasemaje sumari apewe ubunge ili apate mshahara wakuhudumia familia. Anaenda kwa maswala yake binafsi na sio ya jimbo. Ameniudhi na wengine ambao wazazi wote hatuna na hata uwezo hatuna tukagombee wapi ubunge? Nimekasirika sana let him put his $$$$SSS down.
 
The only word 2 tell lusinde is not to tell talk $$$it. How can he say like dat? Hata ambaye hakusoma hawezi kumfanyia kampeni hivyo. Sio kutatua matatizo ya jimbo Bali ya kifamilia. Huyo kijana ajibu hayo matusi.
 
The guy is disgrace, I wonder how he was elected an MP! that can only happen in Tz! Mbowe was right, One Chadema MP is equal to 30 CCM MP! Lusinde has justified that!
 

Unashangaa nini wakati Lusinde yuko pale kwa ajili ya mshahara, maana anajua arudi kipindi cha pili
 
Nimekuwa nikiuona huu uzi nahisi kupasuka kifua, nakosa hata cha kuandika kwa kweli, kama kuna kitu kimepata kuniskitisha katika siku za usoni basi maneno ya huyu mheshimiwa yanaongoza, nashindwa kuamini kama mbunge wa chama changu hiki anaweza simama mbele ya halaiki ya watu waliokosa matumaini na kuongea UTUMBO kama huu.....hizi AK47 zitakapoingia mitaan 2tashuhudia mengi
 
duuu mh. Lusinde kweli sera zimekwisha kabisa huko ccm....... Kura za kumfuta machozi????? Agrrrrrrrrr..

ukitaka kujua busara na akili ya mtu chunguza maneno yake ayaongeayo kwa watu. Msipate shida sana kumjadili lusinde huo ndio upeo wake kifikra
 
Unashangaa nini wakati Lusinde yuko pale kwa ajili ya mshahara, maana anajua arudi kipindi cha pili

tuachane na mambo ya kurudi au kutorudi, ni dharau na matusi ya wazi kwetu kuambiwa tumchague mtu eti kisa kafiwa na baba yake. Wangapi wamefiwa? Wakitaka ubunge watatosha? Ina maana hawana lengo lolote la kuendeleza nchi hii zaidi ya kutaka mishahara wakaendeshe hizo familia zao? Wananchi wangapi hawana mshahara na wanaendesha familia zao? Lakini kwa sababtt aliyewaroga wananchi alishakufa watawapa kula!
 
Yaan mie hasira nlizokuwa nazo dhidi ya upu**avu wa huyu jamaa nahisi kifua kinataka kupasuka....eti "mkimchagua mtamfurahisha Rais maana ndilo chaguo lake" najiuliza hivi ni kweli huyu ni mbunge wa chama changu!!!
 
Kwani kazi ni ubunge tu? si akashike jembe alishe familia? alaah! Huyu jamaa ni punguani kweli...!
 
watu wa Arumelu walikuwa labda na nia ya kumchagua bw. Sioi lakini kwa kauli hizi watu watadharau.

Hii inadhiirisha hawa CCM wameishiwa (wamezidiwa kete) kiasi gani na haya ndio mawazo ambayo wameyatumia siku zote kuleta umasikini nchi hii, thank God leo tunapata kujua haya!
 
ccm kingemuwekea magumashi kumpitisha mzee nyc, ilikuwa lusinde ahamie cdm na kulinyakua jimbo la mtera kwa ticket ya cdm
 
Huyo ni mbunge kijana je akizeeka si ni uchawi kwenda mbele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…