Mpende msipende, Jerry Murro anafaa kuwa msemaji wa CCM kumrithi Humphrey Polepole

Kama response yenu ni ya namna hii, basi Jerry Murro anawafaa. Mmeshindwa kupekua post zangu za nyuma kuona kama nina mahusiano na Jerry Murro.

Ukweli ni ukweli tu hata kama unamhusu Jerry Murro au Mbowe.

Jery umeona huku ndio kwa kutokea sio?? Endelea na majungu huenda ukafanikiwa maana wakolomije wanataka watu kama wewe
mwandikie barua Magufuli akuteue.
Jerry Murou mejianzishia uzi kujipromote, hovyo kabisa. CCM ndio size yako inayokufaa kazana kutukana.
Mkuu weka audio ya hiyo nyimbo mana kusoma hiyo yote duh
Jerry Muro unavituko sana! Umeona Press yako haitoshi sasa unaamua kuanzisha threads za kumponda Mr. Slow a.k.a Mhenga wa TYC. Najua lengo lango ni kutaka uwe mtoa matusi wa CCM kama alivyokuwa TAMBWE HIZZA! Hongera jitahidi unaweza kushinda vita.
Muro ana hoja anafaa kupambana na CHADEMA
Aliyeandika hii thread atakuwa ni Jery Muro
 
Najua washabiki wa CHADEMA watakimbili haraka sana kunudhani kwamba mimi ni adui yao na kuniporomoshea kejeli na ikibidi matusi. Wakifanya hivyo wanazidi kuipandisha chati thread yangu.

Wakifanya hivyo basi warudi nyuma kupekua thread zangu na kuona kwamba sijawahi kuipenda CCM bali nimekuwa nikismamia kile ninachoamini.

Najua pia washabiki wa CCM watashangilia thread hii kama hawajaisoma hadi mwisho.

Hii ni wazi kwamba baadhi yetu tunaendeshwa na mawazo yetu. Sikuzaliwa duniani kufuata mawazo ya binadamu wawili yaani mmoja ni mwenyekiti wa CCM na mwingine ni mwenyekiti wa CHADEMA. Sihitaji kuwa hivyo kwa sababu sijawahi kuifanya siasa kama tegemeo la maisha yangu.

Ninaongea kwa uhuru mkubwa wa kuzaliwa. CCM ni mhanga mkubwa wa mawazo yangu kwa sababu ndiyo wako madarakani na hali zetu kimaisha zikitetereka ni wao. Lakini CCM si mashteani siku zote na wala CHADEMA si malaika siku zote.


Tuje sasa kwenye hoja yangu. Ni kweli Jerry Murro ameonekana kwa kipindi kirefu kuwa mpinzani mpya wa wapinzani kwenye anga za mitandao. Jerry Murro amejionyesha dhahiri kama mwanachama kamili wa CCM hata ambao hatukumjua tunaona dhahiri huyu ni mwana CCM.

Mitandaoni amekuwa na ajenda moja tu. Kupinga chochote kinachosemwa na wapinzani, hasa CHADEMA. Ukiangalia matamshi yake utaona kwamba kwake CHADEMA ni wabovu kuliko hata shetani. Ingekuwa ni jambo la kisiasa basi ungeweza kumsamehe kwamba ndiyo onavyotakiwa.

Lakini Jerry Murro hata kama ni jambo la kesi yeye ataliweka katika jicho la kisiasa na siasa ile inayoi-favor CCM. Yaani kwa ujumla kama kitu cha CCM au serikali ya sasa kiko katika ngai ya mahakama, tayari huyu ana maamuzi.

Huu ni ujuha uliopitiliza. Kumbuka mambo ya kitaalamu kama mahakama au sayansi yoyote wengi wa watanzania walikuwa vilaza na kimsingi hawana haki ya kuyajadili. Tangu lini kilaza akawa na haki ya kujadili wakati jambo limekushinda kwa ukilaza wako na ulofa wako na upu.mbavu wako kama alivypsema Mkapa.

Zamani mijadala kama hii ilikuwa haina athari kubwa kwa sababu ilikuwa inaishia kwenye vigenge vya kahawa. Siku hizi ambapo kila mtu anaweza kubonyeza keyboard hata kutokea pale kwenye genge la kahawa basi imekuwa kero mpya ya kupata ukilaza na ujinga kwenye mitandao.

Sasa Jerry Murro anafanya sahihi au si sahihi?

Ili tujue kwamba ni sahihi au si sahihi kwanza tujue siasa za Tanzania zinaendeshwaje. Siasa ni matamko yoyote yanayotoka kwa wanasiasa. Narudia, Tanzania ni taifa lililojaa vilaza katika kila sekta. Hata unaofikiria kwamba ni wasomi wa University wengi ni vilaza waliomaliza pale kwa kudesa. HIli halina ubishi labda kama mtu anataka tu kubishia jambo lisilohitaji mjadala.

Katika taifa lililojaa vilaza namna hiyo, watu hawajihangaiki kusoma vitabu na journals ili kutafuta ukweli. Wanaosoma wako wachache sana. Wanasiasa wanajua hivyo na wanafurahis hivyo. KWa sababu watu hawasomi basi wanaishia kukimbilia udaku na vitu vidogovidogo na hasa matamko ya wanasiasa.


Mtanzania akishasoma gazeti la udaku basi anaenda mtandaoni kuangalia kuna tamko la mwanasiasa gani. Huu ndiyo ukilaza wa watanzania mnaosoma hii thread.

Ndiyo sababu tuna matatizo makubw a ya uchumi. Ungetarajia magazeti yanayoongoza kununuliwa ni yale yaliyojikita kwenye uchumi kama BUSINESS TIMES. Hayo hayanunuliwi hata na wasomi. Magazeti ya kiswahili yaiyatkiwa vichwa vikuu vya habari viwe ni vile vinavyohusu uchumi. Matokeo yake front page imejikita na matamshi ya mwanasiasa yeyote kutoka serikalini au upinzani na ndipo yagombaniwe. Mtu anannunua kutaka kuona Mbowe katamka nini, Lipumba kasema nini, Lowassa kasema nini, Magufuli kasema nini.

Hebu angalia magazeti yote yaliyofungiwa. Kama ingekuwa ni kufungiwa basi yangefungiwa yanayoandika hali mbaya ya uchumi, kama yapo. Kwa taifa la wasomi haya ni magazeti mabaya sana kwa serikali maana yanaandika uchumi unaoiaibisha serikali. Washabiki wa CHADEMA wangeshabikia sana magazeti haya. Wale wa CCM wangeyaponda ili kuonyesha uchumi ulivyopaa na mwananchi alivyoinuka katika serikali hii.

Lakini watu tumebanwa na uchumi lakini siasa zetu hazijikiti kwenye uchumi. Badala yake siasa zinaishia kuwa za personality za kutaja watu, yaani Tundu Lissu, Mbowe, Magufuli, Lowassa, Chacha Wangwe nk.

Kuanzia hapa sasa unaweza kunielewa. Ukishakuw ana siasa za personality kama hizi basi mpizani wako lazima awe ni yule mwenye kauli za kuudhi, kejeli, mafumbo, mipasho, kutoa kashfa na wakati mwingine matusi.

Kama mnakumbuka siasa hizi aliziweza sana mzee Yusuf Makamba. Wakati akina Dr. Slaa wanajikita katika siasa za usomi yaani kupekua ufisadi na uozo serikalini, Makamba alijua ujinga wa nchi akajikita kwenye kejeli na mipasho. Wakati wa Makamba haikupita miezi minne bila kejeli kwa wapinzani.

Makamba akaondoka CCM akaja msomi yaani Mkama. Nadhani wote ni mashahidi jinsi usomi wake ulivyofanya akapwaya na CCM. Ndipo hapa Nape Nnauye alipoona pengo lile akalitumia na akaipoka ajenda ya ufisadi na kuwakera hadharani aliodhani ni mafisadi ndani ya chama chake.

Wakati huohuo Nape alitunga kejeli kadhaa kwa wapinzani kama CHADEMA lakini wakati huohuo aliowachukia ndani ya CCM hakusita kuwaita mafisadi.

Ona sasa Nape alivyoelewa siasa ya Tanzania ilivyo kutokana na ujinga wetu watanzania. Huwezi kumwita mtu fisadi wakati hakuna mahakama uliyowahi kumpeleka. Hivyo Dr. Slaa alipotangaza ile list ya mafisadi ilikuwa ni siasa na Nape aliporukia ile ajenda ya mafisadi ilikuwa siasa.

Nasema zilikuwa ni siasa kutokana na mazingira ya ujinga wa watanzania. Ufisadi ni suala la kitaalamu, yaani utaalamu wa kupeleleza na kuthibitisha kama mtu ni fisadi.

Kwa miaka tisa kuanzia mwaka 2007 hadi June 2015, Tanzania ilitawaliwa na siasa zenye ajenda ya ufisadi. Kuanzia July 2015, yaani Lowassa alipohamia CHADEMA niseme wazi ukawa ndiyo mwisho wa siasa zenye ajenda ya ufisadi.

Lowassa ameiua ajenda hii kwa sentensi fupi sana “kama mnaniona mimi ni fisadi, nipelekeni mahakamani”. Hakuna anayethubutu kumpeleka Lowassa mahakamani, tena wengine wanasema wanaogopa kufukua makaburi wakati eti tayari kuna mahakama ya mafisadi.

Achilia mbali mahakama ya mafisadi, kesi zenye dalili ya ufisadi kama hizi zinazoendelea pale Kisutu tayari wanaozipenda au kuzichukia wameshaona dalili si kazi rahisi kupambana na ufisadi hasa mahakamani. Ukichilia mbali kesi ya meneja wa ATCL hizi zingine zina kila dalili kwamba serikali itashindwa. Hatupendi ishindwe kwa sababu kushindwa ni kwamba tumeishindwa vita ya mafisadi.

Ni vigumu kudhani ile kesi ya akina Kitilya, Shose Sinare na Sumari kama watashindwa. Tumeona Manji akishinda kesi moja baada ya nyingine. Ni wazi kwamba “siasa za ufisadi” zilizoanzia pale MwembeYanga ndiy zimefikia tamati yake.

Mnaodhani kwamba Dr. Slaa amekimbia kwa sababu nyingine tunatakiwa tufikiri mara mbilimbili. Ukweli ni kwamba ujio wa Magufuli nahisi ndicho kilichomkimbiza Dr. Slaa. Ni wazi Magufuli hapendi ufisadi na hilo hakuna anayebisha. Si rahisi wapinzani kuchukua nchi katika kizazi chetu. Hivyo, Dr. Slaa ana akili sana, alijua Magufuli atashinda hata kama Lowassa angebaki CCM.

Slaa alijua kwamba mtu yeyote ndani ya CCM akiibeba ajenda ya ufisadi basi huo ndiyo utakuwa mwisho wa ajenda hiyo. Dr. Slaa anamjua Magufuli kwamba huyo si mtu wa utaniutani. Alijua sasa mwisho wa siasa za ufisadi umekaribia. Huwezi kuwa na Rais anaitwa Magufuli halafu avumilie kinachoitwa ufisadi.

Na ndicho kinachoendelea. Magufuli hana simile na ufisadi na hiyo ajenda imefika mwisho wake hata kama Lowassa angebaki ndani ya CCM.

Slaa alijua kwamba mafisadi wakipelekwa mahakamani walioitwa mafisadi watashinda. Lakini Magufuli atabaki Rais na wapinzani watakosa ajenda. Na ndicho kinachoendelea.

Ufisadi si jambo la kisiasa. Ufisadi ni jambo la kitaalamu na vita yake ni mahakamani. Nimerudia sana na ninarudia, siasa au ajenda ya ufisadi iliyoanza June 2007 imeisha. Sasa tumerudi kulekule kwenye siasa za mipasho. Siasa za akina Yusuf Makamba.

Kama mnakumbuka Mapuri hakuwa mtu wa mipasho ingawa alikuw amsemaji wa CCM. Makamba alitosha kuwamaliza wapinzani kwa ujinga wa watanzania kuhusudu mipasho kama nilivyoeleza.

Sasa hapa ndipo nitaelewa vizuru kuhusu Jerry Murro. Baada ya siasa za ufisadi kutokuwa na tija na kurudi siasa za personality ni wazi CCM inahitaji mtu anayeyaweza hayo. Humphrey Polepole ni msomi na kwa kweli ni kama vile hajui wala hajawahi kushiriki siasa.

Siasa za Tanzania, tena ndani ya CCM hazihitaji analysis, bali zinahitaji mipasho, kejeli na hata wakati mwingine matusi. Nimeshaeleza. Wapinzani kama CHADEMA unaweza kusema hawazipendi lakini wanazipenda kwa kuziitikia. Hakuna siku Nape alitoa kejeli wakakaa kimya, aliingia mitandaoni kulalamika na kujibu kejeli zake na kuachana na ajenda zao.

Kazi hii Polepole haiwezi na kwa vile Katibu Mkuu ni kama yuko kwenye “go slow strike” basi ni wazi chama kama vile kimelala. Watu wenye mipasho kama Sofia Simba hawako tena ulingoni. Hebu fikiri mtu kama Sofia Simba alisikika akiwaambia wanawake wenzake “wanyimeni waume zenu nonino ili wajiunge na CCM”.

Hizi ni kejeli na siasa. Najua ni siasa za kijinga na binafsi sizipendi lakini ukiingia katika CCM na nchi hii ni lazima uzifuate, zinalipa.

Sasa hizi ndizo siasa ambazo Jerry Murro anazitaka na anaziweza. Mnaona alivyokuw amporomosha kejeli alipokuwa msemaji wa Yanga hadi akakorofishana na TFF. Leo Jerry Murro akipewa usemaji wa CCM hahatimuliwa na TFF.

Hivyo, ni wazi kwamba sisi wenyewe watanzania ndiyo tumejenga siasa wanazotaka akina Jerry Murro. Hivyo, tupende tuspiende, Jerry Murro anafaa kuwa msemaji wa CCM ili kumrithi Humphrey Polepole. Jerry Murro hajali utumbo anaotamka umamuudhi nani. Anajua kwamba ni utumbo lakini maadamu taasisi inapenda anautamka ili kuudhi.

Kwa kiingereza tunaseam kwamba Jerry Murro anajua ku-provoke na anafaulu anapofanya hivyo. Ona sasa ni waiki ya pili sasa thread humu zimejaa kuhusu Jerry Murro. Na hapo katoa mawazo yake tu, hajawa msemaji wa CCM.


Namalizia, simpendi Jerry Murro kwa siasa zake. Sipendi siasa zile za mipasho. Sijawahi kupenda siasa za kifisadi za CHADEMA nilijua zitakuwa na mwisho. Lakini kutokupenda kwangu hakunizuii kuona ukweli kwamba haya nisiyoyapenda ndiyo siasa za Tanzania ambazo Jerry Murro ni wazi anaziweza na atazimudu.

Hivyo, CCM kwa sababu mnapenda siasa hizi mpeni Jerry Murro usemaji wa CCM na mtafanya makosa kutokuwa na mtu wa aina hii kwa wakati huu.
Anayeharisha naye tunamwona ni kiongizi kweli chama changu kazi kina safari ndefu lakini ni Sawa kwani hatuna ushawishi tena. Hata Mzee Mkama aliingia kwa mlango wa nyuma na kutoka kwa mlango huohuo sioni Jipya
 
Najua washabiki wa CHADEMA watakimbili haraka sana kunudhani kwamba mimi ni adui yao na kuniporomoshea kejeli na ikibidi matusi. Wakifanya hivyo wanazidi kuipandisha chati thread yangu.

Wakifanya hivyo basi warudi nyuma kupekua thread zangu na kuona kwamba sijawahi kuipenda CCM bali nimekuwa nikismamia kile ninachoamini.

Najua pia washabiki wa CCM watashangilia thread hii kama hawajaisoma hadi mwisho.

Hii ni wazi kwamba baadhi yetu tunaendeshwa na mawazo yetu. Sikuzaliwa duniani kufuata mawazo ya binadamu wawili yaani mmoja ni mwenyekiti wa CCM na mwingine ni mwenyekiti wa CHADEMA. Sihitaji kuwa hivyo kwa sababu sijawahi kuifanya siasa kama tegemeo la maisha yangu.

Ninaongea kwa uhuru mkubwa wa kuzaliwa. CCM ni mhanga mkubwa wa mawazo yangu kwa sababu ndiyo wako madarakani na hali zetu kimaisha zikitetereka ni wao. Lakini CCM si mashteani siku zote na wala CHADEMA si malaika siku zote.


Tuje sasa kwenye hoja yangu. Ni kweli Jerry Murro ameonekana kwa kipindi kirefu kuwa mpinzani mpya wa wapinzani kwenye anga za mitandao. Jerry Murro amejionyesha dhahiri kama mwanachama kamili wa CCM hata ambao hatukumjua tunaona dhahiri huyu ni mwana CCM.

Mitandaoni amekuwa na ajenda moja tu. Kupinga chochote kinachosemwa na wapinzani, hasa CHADEMA. Ukiangalia matamshi yake utaona kwamba kwake CHADEMA ni wabovu kuliko hata shetani. Ingekuwa ni jambo la kisiasa basi ungeweza kumsamehe kwamba ndiyo onavyotakiwa.

Lakini Jerry Murro hata kama ni jambo la kesi yeye ataliweka katika jicho la kisiasa na siasa ile inayoi-favor CCM. Yaani kwa ujumla kama kitu cha CCM au serikali ya sasa kiko katika ngai ya mahakama, tayari huyu ana maamuzi.

Huu ni ujuha uliopitiliza. Kumbuka mambo ya kitaalamu kama mahakama au sayansi yoyote wengi wa watanzania walikuwa vilaza na kimsingi hawana haki ya kuyajadili. Tangu lini kilaza akawa na haki ya kujadili wakati jambo limekushinda kwa ukilaza wako na ulofa wako na upu.mbavu wako kama alivypsema Mkapa.

Zamani mijadala kama hii ilikuwa haina athari kubwa kwa sababu ilikuwa inaishia kwenye vigenge vya kahawa. Siku hizi ambapo kila mtu anaweza kubonyeza keyboard hata kutokea pale kwenye genge la kahawa basi imekuwa kero mpya ya kupata ukilaza na ujinga kwenye mitandao.

Sasa Jerry Murro anafanya sahihi au si sahihi?

Ili tujue kwamba ni sahihi au si sahihi kwanza tujue siasa za Tanzania zinaendeshwaje. Siasa ni matamko yoyote yanayotoka kwa wanasiasa. Narudia, Tanzania ni taifa lililojaa vilaza katika kila sekta. Hata unaofikiria kwamba ni wasomi wa University wengi ni vilaza waliomaliza pale kwa kudesa. HIli halina ubishi labda kama mtu anataka tu kubishia jambo lisilohitaji mjadala.

Katika taifa lililojaa vilaza namna hiyo, watu hawajihangaiki kusoma vitabu na journals ili kutafuta ukweli. Wanaosoma wako wachache sana. Wanasiasa wanajua hivyo na wanafurahis hivyo. KWa sababu watu hawasomi basi wanaishia kukimbilia udaku na vitu vidogovidogo na hasa matamko ya wanasiasa.


Mtanzania akishasoma gazeti la udaku basi anaenda mtandaoni kuangalia kuna tamko la mwanasiasa gani. Huu ndiyo ukilaza wa watanzania mnaosoma hii thread.

Ndiyo sababu tuna matatizo makubw a ya uchumi. Ungetarajia magazeti yanayoongoza kununuliwa ni yale yaliyojikita kwenye uchumi kama BUSINESS TIMES. Hayo hayanunuliwi hata na wasomi. Magazeti ya kiswahili yaiyatkiwa vichwa vikuu vya habari viwe ni vile vinavyohusu uchumi. Matokeo yake front page imejikita na matamshi ya mwanasiasa yeyote kutoka serikalini au upinzani na ndipo yagombaniwe. Mtu anannunua kutaka kuona Mbowe katamka nini, Lipumba kasema nini, Lowassa kasema nini, Magufuli kasema nini.

Hebu angalia magazeti yote yaliyofungiwa. Kama ingekuwa ni kufungiwa basi yangefungiwa yanayoandika hali mbaya ya uchumi, kama yapo. Kwa taifa la wasomi haya ni magazeti mabaya sana kwa serikali maana yanaandika uchumi unaoiaibisha serikali. Washabiki wa CHADEMA wangeshabikia sana magazeti haya. Wale wa CCM wangeyaponda ili kuonyesha uchumi ulivyopaa na mwananchi alivyoinuka katika serikali hii.

Lakini watu tumebanwa na uchumi lakini siasa zetu hazijikiti kwenye uchumi. Badala yake siasa zinaishia kuwa za personality za kutaja watu, yaani Tundu Lissu, Mbowe, Magufuli, Lowassa, Chacha Wangwe nk.

Kuanzia hapa sasa unaweza kunielewa. Ukishakuw ana siasa za personality kama hizi basi mpizani wako lazima awe ni yule mwenye kauli za kuudhi, kejeli, mafumbo, mipasho, kutoa kashfa na wakati mwingine matusi.

Kama mnakumbuka siasa hizi aliziweza sana mzee Yusuf Makamba. Wakati akina Dr. Slaa wanajikita katika siasa za usomi yaani kupekua ufisadi na uozo serikalini, Makamba alijua ujinga wa nchi akajikita kwenye kejeli na mipasho. Wakati wa Makamba haikupita miezi minne bila kejeli kwa wapinzani.

Makamba akaondoka CCM akaja msomi yaani Mkama. Nadhani wote ni mashahidi jinsi usomi wake ulivyofanya akapwaya na CCM. Ndipo hapa Nape Nnauye alipoona pengo lile akalitumia na akaipoka ajenda ya ufisadi na kuwakera hadharani aliodhani ni mafisadi ndani ya chama chake.

Wakati huohuo Nape alitunga kejeli kadhaa kwa wapinzani kama CHADEMA lakini wakati huohuo aliowachukia ndani ya CCM hakusita kuwaita mafisadi.

Ona sasa Nape alivyoelewa siasa ya Tanzania ilivyo kutokana na ujinga wetu watanzania. Huwezi kumwita mtu fisadi wakati hakuna mahakama uliyowahi kumpeleka. Hivyo Dr. Slaa alipotangaza ile list ya mafisadi ilikuwa ni siasa na Nape aliporukia ile ajenda ya mafisadi ilikuwa siasa.

Nasema zilikuwa ni siasa kutokana na mazingira ya ujinga wa watanzania. Ufisadi ni suala la kitaalamu, yaani utaalamu wa kupeleleza na kuthibitisha kama mtu ni fisadi.

Kwa miaka tisa kuanzia mwaka 2007 hadi June 2015, Tanzania ilitawaliwa na siasa zenye ajenda ya ufisadi. Kuanzia July 2015, yaani Lowassa alipohamia CHADEMA niseme wazi ukawa ndiyo mwisho wa siasa zenye ajenda ya ufisadi.

Lowassa ameiua ajenda hii kwa sentensi fupi sana “kama mnaniona mimi ni fisadi, nipelekeni mahakamani”. Hakuna anayethubutu kumpeleka Lowassa mahakamani, tena wengine wanasema wanaogopa kufukua makaburi wakati eti tayari kuna mahakama ya mafisadi.

Achilia mbali mahakama ya mafisadi, kesi zenye dalili ya ufisadi kama hizi zinazoendelea pale Kisutu tayari wanaozipenda au kuzichukia wameshaona dalili si kazi rahisi kupambana na ufisadi hasa mahakamani. Ukichilia mbali kesi ya meneja wa ATCL hizi zingine zina kila dalili kwamba serikali itashindwa. Hatupendi ishindwe kwa sababu kushindwa ni kwamba tumeishindwa vita ya mafisadi.

Ni vigumu kudhani ile kesi ya akina Kitilya, Shose Sinare na Sumari kama watashindwa. Tumeona Manji akishinda kesi moja baada ya nyingine. Ni wazi kwamba “siasa za ufisadi” zilizoanzia pale MwembeYanga ndiy zimefikia tamati yake.

Mnaodhani kwamba Dr. Slaa amekimbia kwa sababu nyingine tunatakiwa tufikiri mara mbilimbili. Ukweli ni kwamba ujio wa Magufuli nahisi ndicho kilichomkimbiza Dr. Slaa. Ni wazi Magufuli hapendi ufisadi na hilo hakuna anayebisha. Si rahisi wapinzani kuchukua nchi katika kizazi chetu. Hivyo, Dr. Slaa ana akili sana, alijua Magufuli atashinda hata kama Lowassa angebaki CCM.

Slaa alijua kwamba mtu yeyote ndani ya CCM akiibeba ajenda ya ufisadi basi huo ndiyo utakuwa mwisho wa ajenda hiyo. Dr. Slaa anamjua Magufuli kwamba huyo si mtu wa utaniutani. Alijua sasa mwisho wa siasa za ufisadi umekaribia. Huwezi kuwa na Rais anaitwa Magufuli halafu avumilie kinachoitwa ufisadi.

Na ndicho kinachoendelea. Magufuli hana simile na ufisadi na hiyo ajenda imefika mwisho wake hata kama Lowassa angebaki ndani ya CCM.

Slaa alijua kwamba mafisadi wakipelekwa mahakamani walioitwa mafisadi watashinda. Lakini Magufuli atabaki Rais na wapinzani watakosa ajenda. Na ndicho kinachoendelea.

Ufisadi si jambo la kisiasa. Ufisadi ni jambo la kitaalamu na vita yake ni mahakamani. Nimerudia sana na ninarudia, siasa au ajenda ya ufisadi iliyoanza June 2007 imeisha. Sasa tumerudi kulekule kwenye siasa za mipasho. Siasa za akina Yusuf Makamba.

Kama mnakumbuka Mapuri hakuwa mtu wa mipasho ingawa alikuw amsemaji wa CCM. Makamba alitosha kuwamaliza wapinzani kwa ujinga wa watanzania kuhusudu mipasho kama nilivyoeleza.

Sasa hapa ndipo nitaelewa vizuru kuhusu Jerry Murro. Baada ya siasa za ufisadi kutokuwa na tija na kurudi siasa za personality ni wazi CCM inahitaji mtu anayeyaweza hayo. Humphrey Polepole ni msomi na kwa kweli ni kama vile hajui wala hajawahi kushiriki siasa.

Siasa za Tanzania, tena ndani ya CCM hazihitaji analysis, bali zinahitaji mipasho, kejeli na hata wakati mwingine matusi. Nimeshaeleza. Wapinzani kama CHADEMA unaweza kusema hawazipendi lakini wanazipenda kwa kuziitikia. Hakuna siku Nape alitoa kejeli wakakaa kimya, aliingia mitandaoni kulalamika na kujibu kejeli zake na kuachana na ajenda zao.

Kazi hii Polepole haiwezi na kwa vile Katibu Mkuu ni kama yuko kwenye “go slow strike” basi ni wazi chama kama vile kimelala. Watu wenye mipasho kama Sofia Simba hawako tena ulingoni. Hebu fikiri mtu kama Sofia Simba alisikika akiwaambia wanawake wenzake “wanyimeni waume zenu nonino ili wajiunge na CCM”.

Hizi ni kejeli na siasa. Najua ni siasa za kijinga na binafsi sizipendi lakini ukiingia katika CCM na nchi hii ni lazima uzifuate, zinalipa.

Sasa hizi ndizo siasa ambazo Jerry Murro anazitaka na anaziweza. Mnaona alivyokuw amporomosha kejeli alipokuwa msemaji wa Yanga hadi akakorofishana na TFF. Leo Jerry Murro akipewa usemaji wa CCM hahatimuliwa na TFF.

Hivyo, ni wazi kwamba sisi wenyewe watanzania ndiyo tumejenga siasa wanazotaka akina Jerry Murro. Hivyo, tupende tuspiende, Jerry Murro anafaa kuwa msemaji wa CCM ili kumrithi Humphrey Polepole. Jerry Murro hajali utumbo anaotamka umamuudhi nani. Anajua kwamba ni utumbo lakini maadamu taasisi inapenda anautamka ili kuudhi.

Kwa kiingereza tunaseam kwamba Jerry Murro anajua ku-provoke na anafaulu anapofanya hivyo. Ona sasa ni waiki ya pili sasa thread humu zimejaa kuhusu Jerry Murro. Na hapo katoa mawazo yake tu, hajawa msemaji wa CCM.


Namalizia, simpendi Jerry Murro kwa siasa zake. Sipendi siasa zile za mipasho. Sijawahi kupenda siasa za kifisadi za CHADEMA nilijua zitakuwa na mwisho. Lakini kutokupenda kwangu hakunizuii kuona ukweli kwamba haya nisiyoyapenda ndiyo siasa za Tanzania ambazo Jerry Murro ni wazi anaziweza na atazimudu.

Hivyo, CCM kwa sababu mnapenda siasa hizi mpeni Jerry Murro usemaji wa CCM na mtafanya makosa kutokuwa na mtu wa aina hii kwa wakati huu.
Binafs nimekuelewa sn,Ccm watumie fursa Hii na jery muro ndio habari ya mujini
 
Najua washabiki wa CHADEMA watakimbili haraka sana kunudhani kwamba mimi ni adui yao na kuniporomoshea kejeli na ikibidi matusi. Wakifanya hivyo wanazidi kuipandisha chati thread yangu.

Wakifanya hivyo basi warudi nyuma kupekua thread zangu na kuona kwamba sijawahi kuipenda CCM bali nimekuwa nikismamia kile ninachoamini.

Najua pia washabiki wa CCM watashangilia thread hii kama hawajaisoma hadi mwisho.

Hii ni wazi kwamba baadhi yetu tunaendeshwa na mawazo yetu. Sikuzaliwa duniani kufuata mawazo ya binadamu wawili yaani mmoja ni mwenyekiti wa CCM na mwingine ni mwenyekiti wa CHADEMA. Sihitaji kuwa hivyo kwa sababu sijawahi kuifanya siasa kama tegemeo la maisha yangu.

Ninaongea kwa uhuru mkubwa wa kuzaliwa. CCM ni mhanga mkubwa wa mawazo yangu kwa sababu ndiyo wako madarakani na hali zetu kimaisha zikitetereka ni wao. Lakini CCM si mashteani siku zote na wala CHADEMA si malaika siku zote.


Tuje sasa kwenye hoja yangu. Ni kweli Jerry Murro ameonekana kwa kipindi kirefu kuwa mpinzani mpya wa wapinzani kwenye anga za mitandao. Jerry Murro amejionyesha dhahiri kama mwanachama kamili wa CCM hata ambao hatukumjua tunaona dhahiri huyu ni mwana CCM.

Mitandaoni amekuwa na ajenda moja tu. Kupinga chochote kinachosemwa na wapinzani, hasa CHADEMA. Ukiangalia matamshi yake utaona kwamba kwake CHADEMA ni wabovu kuliko hata shetani. Ingekuwa ni jambo la kisiasa basi ungeweza kumsamehe kwamba ndiyo onavyotakiwa.

Lakini Jerry Murro hata kama ni jambo la kesi yeye ataliweka katika jicho la kisiasa na siasa ile inayoi-favor CCM. Yaani kwa ujumla kama kitu cha CCM au serikali ya sasa kiko katika ngai ya mahakama, tayari huyu ana maamuzi.

Huu ni ujuha uliopitiliza. Kumbuka mambo ya kitaalamu kama mahakama au sayansi yoyote wengi wa watanzania walikuwa vilaza na kimsingi hawana haki ya kuyajadili. Tangu lini kilaza akawa na haki ya kujadili wakati jambo limekushinda kwa ukilaza wako na ulofa wako na upu.mbavu wako kama alivypsema Mkapa.

Zamani mijadala kama hii ilikuwa haina athari kubwa kwa sababu ilikuwa inaishia kwenye vigenge vya kahawa. Siku hizi ambapo kila mtu anaweza kubonyeza keyboard hata kutokea pale kwenye genge la kahawa basi imekuwa kero mpya ya kupata ukilaza na ujinga kwenye mitandao.

Sasa Jerry Murro anafanya sahihi au si sahihi?

Ili tujue kwamba ni sahihi au si sahihi kwanza tujue siasa za Tanzania zinaendeshwaje. Siasa ni matamko yoyote yanayotoka kwa wanasiasa. Narudia, Tanzania ni taifa lililojaa vilaza katika kila sekta. Hata unaofikiria kwamba ni wasomi wa University wengi ni vilaza waliomaliza pale kwa kudesa. HIli halina ubishi labda kama mtu anataka tu kubishia jambo lisilohitaji mjadala.

Katika taifa lililojaa vilaza namna hiyo, watu hawajihangaiki kusoma vitabu na journals ili kutafuta ukweli. Wanaosoma wako wachache sana. Wanasiasa wanajua hivyo na wanafurahis hivyo. KWa sababu watu hawasomi basi wanaishia kukimbilia udaku na vitu vidogovidogo na hasa matamko ya wanasiasa.


Mtanzania akishasoma gazeti la udaku basi anaenda mtandaoni kuangalia kuna tamko la mwanasiasa gani. Huu ndiyo ukilaza wa watanzania mnaosoma hii thread.

Ndiyo sababu tuna matatizo makubw a ya uchumi. Ungetarajia magazeti yanayoongoza kununuliwa ni yale yaliyojikita kwenye uchumi kama BUSINESS TIMES. Hayo hayanunuliwi hata na wasomi. Magazeti ya kiswahili yaiyatkiwa vichwa vikuu vya habari viwe ni vile vinavyohusu uchumi. Matokeo yake front page imejikita na matamshi ya mwanasiasa yeyote kutoka serikalini au upinzani na ndipo yagombaniwe. Mtu anannunua kutaka kuona Mbowe katamka nini, Lipumba kasema nini, Lowassa kasema nini, Magufuli kasema nini.

Hebu angalia magazeti yote yaliyofungiwa. Kama ingekuwa ni kufungiwa basi yangefungiwa yanayoandika hali mbaya ya uchumi, kama yapo. Kwa taifa la wasomi haya ni magazeti mabaya sana kwa serikali maana yanaandika uchumi unaoiaibisha serikali. Washabiki wa CHADEMA wangeshabikia sana magazeti haya. Wale wa CCM wangeyaponda ili kuonyesha uchumi ulivyopaa na mwananchi alivyoinuka katika serikali hii.

Lakini watu tumebanwa na uchumi lakini siasa zetu hazijikiti kwenye uchumi. Badala yake siasa zinaishia kuwa za personality za kutaja watu, yaani Tundu Lissu, Mbowe, Magufuli, Lowassa, Chacha Wangwe nk.

Kuanzia hapa sasa unaweza kunielewa. Ukishakuw ana siasa za personality kama hizi basi mpizani wako lazima awe ni yule mwenye kauli za kuudhi, kejeli, mafumbo, mipasho, kutoa kashfa na wakati mwingine matusi.

Kama mnakumbuka siasa hizi aliziweza sana mzee Yusuf Makamba. Wakati akina Dr. Slaa wanajikita katika siasa za usomi yaani kupekua ufisadi na uozo serikalini, Makamba alijua ujinga wa nchi akajikita kwenye kejeli na mipasho. Wakati wa Makamba haikupita miezi minne bila kejeli kwa wapinzani.

Makamba akaondoka CCM akaja msomi yaani Mkama. Nadhani wote ni mashahidi jinsi usomi wake ulivyofanya akapwaya na CCM. Ndipo hapa Nape Nnauye alipoona pengo lile akalitumia na akaipoka ajenda ya ufisadi na kuwakera hadharani aliodhani ni mafisadi ndani ya chama chake.

Wakati huohuo Nape alitunga kejeli kadhaa kwa wapinzani kama CHADEMA lakini wakati huohuo aliowachukia ndani ya CCM hakusita kuwaita mafisadi.

Ona sasa Nape alivyoelewa siasa ya Tanzania ilivyo kutokana na ujinga wetu watanzania. Huwezi kumwita mtu fisadi wakati hakuna mahakama uliyowahi kumpeleka. Hivyo Dr. Slaa alipotangaza ile list ya mafisadi ilikuwa ni siasa na Nape aliporukia ile ajenda ya mafisadi ilikuwa siasa.

Nasema zilikuwa ni siasa kutokana na mazingira ya ujinga wa watanzania. Ufisadi ni suala la kitaalamu, yaani utaalamu wa kupeleleza na kuthibitisha kama mtu ni fisadi.

Kwa miaka tisa kuanzia mwaka 2007 hadi June 2015, Tanzania ilitawaliwa na siasa zenye ajenda ya ufisadi. Kuanzia July 2015, yaani Lowassa alipohamia CHADEMA niseme wazi ukawa ndiyo mwisho wa siasa zenye ajenda ya ufisadi.

Lowassa ameiua ajenda hii kwa sentensi fupi sana “kama mnaniona mimi ni fisadi, nipelekeni mahakamani”. Hakuna anayethubutu kumpeleka Lowassa mahakamani, tena wengine wanasema wanaogopa kufukua makaburi wakati eti tayari kuna mahakama ya mafisadi.

Achilia mbali mahakama ya mafisadi, kesi zenye dalili ya ufisadi kama hizi zinazoendelea pale Kisutu tayari wanaozipenda au kuzichukia wameshaona dalili si kazi rahisi kupambana na ufisadi hasa mahakamani. Ukichilia mbali kesi ya meneja wa ATCL hizi zingine zina kila dalili kwamba serikali itashindwa. Hatupendi ishindwe kwa sababu kushindwa ni kwamba tumeishindwa vita ya mafisadi.

Ni vigumu kudhani ile kesi ya akina Kitilya, Shose Sinare na Sumari kama watashindwa. Tumeona Manji akishinda kesi moja baada ya nyingine. Ni wazi kwamba “siasa za ufisadi” zilizoanzia pale MwembeYanga ndiy zimefikia tamati yake.

Mnaodhani kwamba Dr. Slaa amekimbia kwa sababu nyingine tunatakiwa tufikiri mara mbilimbili. Ukweli ni kwamba ujio wa Magufuli nahisi ndicho kilichomkimbiza Dr. Slaa. Ni wazi Magufuli hapendi ufisadi na hilo hakuna anayebisha. Si rahisi wapinzani kuchukua nchi katika kizazi chetu. Hivyo, Dr. Slaa ana akili sana, alijua Magufuli atashinda hata kama Lowassa angebaki CCM.

Slaa alijua kwamba mtu yeyote ndani ya CCM akiibeba ajenda ya ufisadi basi huo ndiyo utakuwa mwisho wa ajenda hiyo. Dr. Slaa anamjua Magufuli kwamba huyo si mtu wa utaniutani. Alijua sasa mwisho wa siasa za ufisadi umekaribia. Huwezi kuwa na Rais anaitwa Magufuli halafu avumilie kinachoitwa ufisadi.

Na ndicho kinachoendelea. Magufuli hana simile na ufisadi na hiyo ajenda imefika mwisho wake hata kama Lowassa angebaki ndani ya CCM.

Slaa alijua kwamba mafisadi wakipelekwa mahakamani walioitwa mafisadi watashinda. Lakini Magufuli atabaki Rais na wapinzani watakosa ajenda. Na ndicho kinachoendelea.

Ufisadi si jambo la kisiasa. Ufisadi ni jambo la kitaalamu na vita yake ni mahakamani. Nimerudia sana na ninarudia, siasa au ajenda ya ufisadi iliyoanza June 2007 imeisha. Sasa tumerudi kulekule kwenye siasa za mipasho. Siasa za akina Yusuf Makamba.

Kama mnakumbuka Mapuri hakuwa mtu wa mipasho ingawa alikuw amsemaji wa CCM. Makamba alitosha kuwamaliza wapinzani kwa ujinga wa watanzania kuhusudu mipasho kama nilivyoeleza.

Sasa hapa ndipo nitaelewa vizuru kuhusu Jerry Murro. Baada ya siasa za ufisadi kutokuwa na tija na kurudi siasa za personality ni wazi CCM inahitaji mtu anayeyaweza hayo. Humphrey Polepole ni msomi na kwa kweli ni kama vile hajui wala hajawahi kushiriki siasa.

Siasa za Tanzania, tena ndani ya CCM hazihitaji analysis, bali zinahitaji mipasho, kejeli na hata wakati mwingine matusi. Nimeshaeleza. Wapinzani kama CHADEMA unaweza kusema hawazipendi lakini wanazipenda kwa kuziitikia. Hakuna siku Nape alitoa kejeli wakakaa kimya, aliingia mitandaoni kulalamika na kujibu kejeli zake na kuachana na ajenda zao.

Kazi hii Polepole haiwezi na kwa vile Katibu Mkuu ni kama yuko kwenye “go slow strike” basi ni wazi chama kama vile kimelala. Watu wenye mipasho kama Sofia Simba hawako tena ulingoni. Hebu fikiri mtu kama Sofia Simba alisikika akiwaambia wanawake wenzake “wanyimeni waume zenu nonino ili wajiunge na CCM”.

Hizi ni kejeli na siasa. Najua ni siasa za kijinga na binafsi sizipendi lakini ukiingia katika CCM na nchi hii ni lazima uzifuate, zinalipa.

Sasa hizi ndizo siasa ambazo Jerry Murro anazitaka na anaziweza. Mnaona alivyokuw amporomosha kejeli alipokuwa msemaji wa Yanga hadi akakorofishana na TFF. Leo Jerry Murro akipewa usemaji wa CCM hahatimuliwa na TFF.

Hivyo, ni wazi kwamba sisi wenyewe watanzania ndiyo tumejenga siasa wanazotaka akina Jerry Murro. Hivyo, tupende tuspiende, Jerry Murro anafaa kuwa msemaji wa CCM ili kumrithi Humphrey Polepole. Jerry Murro hajali utumbo anaotamka umamuudhi nani. Anajua kwamba ni utumbo lakini maadamu taasisi inapenda anautamka ili kuudhi.

Kwa kiingereza tunaseam kwamba Jerry Murro anajua ku-provoke na anafaulu anapofanya hivyo. Ona sasa ni waiki ya pili sasa thread humu zimejaa kuhusu Jerry Murro. Na hapo katoa mawazo yake tu, hajawa msemaji wa CCM.


Namalizia, simpendi Jerry Murro kwa siasa zake. Sipendi siasa zile za mipasho. Sijawahi kupenda siasa za kifisadi za CHADEMA nilijua zitakuwa na mwisho. Lakini kutokupenda kwangu hakunizuii kuona ukweli kwamba haya nisiyoyapenda ndiyo siasa za Tanzania ambazo Jerry Murro ni wazi anaziweza na atazimudu.

Hivyo, CCM kwa sababu mnapenda siasa hizi mpeni Jerry Murro usemaji wa CCM na mtafanya makosa kutokuwa na mtu wa aina hii kwa wakati huu.
Wewe Jamaa muongo kweli, polepole msomi? Kasoma wapi? Wakati mwenzio alipata Division zero form six pale Benjamini Mkapa
 
Jerry Muro unavituko sana! Umeona Press yako haitoshi sasa unaamua kuanzisha threads za kumponda Mr. Slow a.k.a Mhenga wa TYC. Najua lengo lango ni kutaka uwe mtoa matusi wa CCM kama alivyokuwa TAMBWE HIZZA! Hongera jitahidi unaweza kushinda vita.
Huyo ni Jerry Muro mwenyewe ndo anajipigia debe. Ukitaka kujua ukweli mods waweke utaratibu wa thread kama hizi zitolewe na verified users only.
 
Jana nilipatwa na mshangao mkubwa baada ya kumsikiliza Jerry kupitia mitandao ya kijamii na kusikia kuwa Lema alikuwa na dred.

Swali:
Alizinyoa lini?
Alinyoa kwanini?
Na Dredrocks man wanaamini katika matumizi ya Marijuana.
Swali je. aliacha kutumia majani?
Aliacha lini?

Na inasemekana Jani la Arusha ni balaa balani Africa.
Swali.
Inawezekana yale maandamano ya arusha yalikuwa na msukumo wa majani?
Kama siyo kwanini Arusha ndiyo ilikuwa kitovu cha maandamano kila kukicha yakiongwoza lema mfuga rasta aliyezinyoa?
 
Sasa tukijua kwamba alikuwa rasta itatufaidisha kitu gani!? Na nywele zake za kipindi hicho zitakuwa na uhusiano gan na uwakilishi wake wa wananchi wa Arusha!?
Kibiblia Mungu anasema 'hata kama dhambi zako ni nyekundu kama damu yeye atazifanya kuwa nyeupe kama theluji'
 
Jana nilipatwa na mshangao mkubwa baada ya kumsikiliza Jerry kupitia mitandao ya kijamii na kusikia kuwa Lema alikuwa na dred.

Swali:
Alizinyoa lini?
Alinyoa kwanini?
Na Dredrocks man wanaamini katika matumizi ya Marijuana.
Swali je. aliacha kutumia majani?
Aliacha lini?

Na inasemekana Jani la Arusha ni balaa balani Africa.
Swali.
Inawezekana yale maandamano ya arusha yalikuwa na msukumo wa majani?
Kama siyo kwanini Arusha ndiyo ilikuwa kitovu cha maandamano kila kukicha yakiongwoza lema mfuga rasta aliyezinyoa?
Majani ya tabora haya.
 
Jana nilipatwa na mshangao mkubwa baada ya kumsikiliza Jerry kupitia mitandao ya kijamii na kusikia kuwa Lema alikuwa na dred.

Swali:
Alizinyoa lini?
Alinyoa kwanini?
Na Dredrocks man wanaamini katika matumizi ya Marijuana.
Swali je. aliacha kutumia majani?
Aliacha lini?

Na inasemekana Jani la Arusha ni balaa balani Africa.
Swali.
Inawezekana yale maandamano ya arusha yalikuwa na msukumo wa majani?
Kama siyo kwanini Arusha ndiyo ilikuwa kitovu cha maandamano kila kukicha yakiongwoza lema mfuga rasta aliyezinyoa?
Hii nayo ni thread inayohitaji discussion? Tanzania tuna kazi kubwa kufika kwenye uchumi wa Kati. Ujenzi huu wa hoja unaakisi uwezo wa mtu kufikiri na harakati zake kiujumla katika kutafuta mkate!
 
Back
Top Bottom