CCM inaitaji katibu mkuu mzalendo, mpigania haki na usawa, mcha Mungu kama vile Humphrey POLEPOLE.
This guy huwa namkubari sana ni jeniasi na ni PRO MAGUFULI, na ukimtaja Magufuli kwa mema lazima wananchi wakupe kura chap asubuhi na mapema.
CCM tuleteeni Mr SLOW SLOW but sure ili tuwatandike wapinzani asubuhi na mapema.
This guy huwa namkubari sana ni jeniasi na ni PRO MAGUFULI, na ukimtaja Magufuli kwa mema lazima wananchi wakupe kura chap asubuhi na mapema.
CCM tuleteeni Mr SLOW SLOW but sure ili tuwatandike wapinzani asubuhi na mapema.