Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu mpendazoe! Alikuwa mbunge wa ccm, akahama na kuanzisha ccj, akahama na kukimbilia chadema mnadhani ni mtu safi huyu wana cdm? Kama alikuwa msiri wakati anahama ccm na kuanzisha chadema,akawafichia siri wenzake ,wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya ccm je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya chadem?
Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu mpendazoe! Alikuwa mbunge wa ccm, akahama na kuanzisha ccj, akahama na kukimbilia chadema mnadhani ni mtu safi huyu wana cdm? Kama alikuwa msiri wakati anahama ccm na kuanzisha chadema,akawafichia siri wenzake ,wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya ccm je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya chadem?
RIP na Upupu wako,unapotaka kumumng'oa adui huwezi weka mambo bayana na hata sababu ya kutosajiliwa CCJ ilikuwa ni zengwe na worry ya CCM dhidi ya CCJ na Mpendazoe anasema lengo ilikuwa waje waungane na CDM ilikuing'oa CCM sasa unaposema alikuwa msiri na hata akiona CDM kama mambo hayaendi sawa anaweza kuanzisha movement za mabadiliok kupitia chama kingine amabcho ki-mtazamo wake kitakuwa na malengo sawa na anavyoamini na hii ni kwa mtu yeyote makini sio Mpendazoe tu!
kama lengo lilikuwa kuja kuungana na chadema ili waing'oe ccm kwanini wasingetoka moja kwa moja kwenda kuongezea nguvu cdm ili waitoe iyo ccm?
CCM hamna Jipya, Nape ndo mwanzilishi wa CCJ
Huyu Mpendazoe mwisho wa siku atawaacha CDM njia panda, hana msimamo. CDM nao mnapa jukwaa kwa kutangaza SIX, Mwakiyembe na Nape kama waanzilishi wa chama mfu CCJ lakini anashindwa kutuambia CDM ikiingia madarakani itafanya jambo gani jipya kwa watz. CDM inaelekea kubaya na harakati zenu za maandamano endelevu na siasa majitaka:dance:
Wewe Ulitaka ARUDI CCM baada ya CCJ Kuhujumiwa Usajili?Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu Mpendazoe, alikuwa mbunge wa CCM, akahama na kuanzisha CCJ, akahama na kukimbilia CHADEMA mnadhani ni mtu safi huyu wana CDM?
Kama alikuwa msiri wakati anahama CCM na kuanzisha CHADEMA ,akawafichia siri wenzake , wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya CCM, je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya CHADEMA?
Nimelipenda sana jibu hili.. Tuache tuhuma mwenye uthibitisho kutoka kwa msajili wa vyama alete hapa hizo data... Haya maswala ya kutajana majukwaani yashapitwa na wakati!..SITTA AJIBU
Waziri Sitta alipoulizwa kuhusu madai ya Mpendazoe alisema: waanzilishi wa CCJ wapo kwa msajili.
Ni shujaa,hii inaonesha ni jinsi gani anaichukia ccm (chama cha magamba)
Nataka kuiwauliza wanajamii juu ya huyu Mpendazoe, alikuwa mbunge wa CCM, akahama na kuanzisha CCJ, akahama na kukimbilia CHADEMA mnadhani ni mtu safi huyu wana CDM?
Kama alikuwa msiri wakati anahama CCM na kuanzisha CHADEMA ,akawafichia siri wenzake , wakampa mapesa aanzishe vurugu ndani ya CCM, je mnazani hawezi kufanya hayo hayo akiwa ndani ya CHADEMA?
Wewe Ulitaka ARUDI CCM baada ya CCJ Kuhujumiwa Usajili?
Baada ya Kada mwandamizi wa CDM Fred Mpendazoea kuanika siri za vigogo wa CCM Zinazowahusisha na mipango ya kuwahi kukigeuka chama chao na kuanzisiha ccj, jana Fred Mpendazoea aliwataja wahariri na waandishi wa habari ambao walikuwa ni waasisi wakuu wa CCJ,waandishi waliotajwa na Mpendazoea na vyombo vya habari wanavyotoka ni Ramadhani Semtawa(Mwananchi) ,Muhingo Rweymamu(Habari Corporation), Mayage S Mayage (Habari Corporation) .
Amesisitiza kuwa ndio walikuwa waasisi wakuu wa CCJ