Una uhakika mkuu... Hizo ni shutuma nzito sana usifikiri ukiwa nyuma ya keyboard huwezi kufikiwa.. Watch Out
Majibu tafadhaliiiiNimehifadhi Mali ya wizi nyumbani kwangu,nimelipwa dola 4000 kwa siku tano nitashangaa police mkija kunikamata kwa sababu hayo Mali siyo yangu ila nyumba ni yangu,mkithubutu nitawauliza maswali magumu kumi,mbona ile nyumba iliyohifadhi pembe za ndovu kule Vietnam mbona mwenye nyumba hakukamatwa?@abdul mananasi