MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
- Thread starter
- #41
Timiza wajibu wako wa kusaidia kuwapeleka kwenye vyombo vya dola.Maigizo at work. Business mogul wa hizo mambo wanajulikana na wala hawashughulikiwi.
Timiza wajibu wako wa kusaidia kuwapeleka kwenye vyombo vya dola.Maigizo at work. Business mogul wa hizo mambo wanajulikana na wala hawashughulikiwi.
Hawa ndio anawaweza Magufuli..
Lakini kwa IPTL anaufyata....
tusubirii madina atakuja tu usijari mkuuHawa ndio anawaweza Magufuli..
Lakini kwa IPTL anaufyata....
mile?Laiti Kama na Escrow,Epa,Lugumi Zingeshughulikiwa Hivi,Tungekuwa Mbali Sana!
unafikiri anaweza kuyachezea masharubu ya IPTL
Ni makaburi. Hazikutokea wakati wa utawala wake. Kufukua makaburi unaweza kushindwa kuyafukia na yakaendelea kubaki wazi ambayo ni balaa.Laiti Kama na Escrow,Epa,Lugumi Zingeshughulikiwa Hivi,Tungekuwa Mbali Sana!
Yule mtoto wa chama chetu kinachotawalaNa yule mtoto wa mbunge aliyelipa fine ya 130mln baadala ya hukumu kesi yake nae ilikuwaje??!! Na yule mbunge anayehusishwa na bunduki 13 je??!! Lema yupo ndani kwa maneno ya ndoto tu, wabunge wa chama twawala ni siri!! !
View attachment 435213
View attachment 435216
View attachment 435217
Mtuhumiwa wa makosa ya kukamatwa na nyara za serikali, Yusuf Ali Yusuf maarufu kama Shehe Mpemba (35) kushoto kwenye picha ambaye alitajwa na Rais John Magufuli kuwa ndiye kinara wa biashara ya meno ya tembo na wenzake Charles Mrutu (37), Benedict Kungwa (40), Jumanne Chima (30), Ahmed Nyagongo (33) na Pius Kulagwa (46) wamefikishwa mahakamani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Thomas Simba na hawakutakiwa kujibu chochote na kesi hiyo imeahirishwa hadi Desemba Mosi, mwaka huu itakapotajwa tena huku watuhumiwa hao wakirudishwa rumande.
Hii ni Hati ya Mashitaka.
![]()
![]()
![]()
katibu mkuu wa chama chako ni beneficiary wa hii illegal business...ni mogul mmojawapo...he benefits from the proceeds of crimeTimiza wajibu wako wa kusaidia kuwapeleka kwenye vyombo vya dola.
Na Yule queen wa kichina na wabunge je?Hawa ndio anawaweza Magufuli..
Lakini kwa IPTL anaufyata....
Nafuu umenyoosha mikono.Wewe unaweza hao IPTL au unaandika tu kufurahisha wajinga.