Mpemba aliyetajwa na rais ni nani?

Mpemba aliyetajwa na rais ni nani?

Kwanza wamkamate Mulla na mtoto wake maana wamekuta bunduki shehena zaidi 12 ndani nyumba yake.....wakimaliza hapo wamkamate mpemba nae atamtaja.......mzee kipara ndio watapata kigugumizi!! Zoezi litaishia hapo! Pia mbunge mmoja wa kand maalum nae yumo!! Subiri movie inoge!!!
 
Wapemba, Waarabu, Wahindi na Wasomali ndio WATU wa ngeda, PEMBE ZA faru, Meno ya tembo na Wizi wote mkubwa unaotokea nchini, Wadau wote Kunako sirikali wanajua hilo na wengi wanatumiwa kutakatisha pesa haramu, HAYO NI MAJIDUBWASHIKA YA KUTIMUA KAMA ALIVYOFANYA IDI AMIN WARUDI MAKWAO
 
Wapemba waarabu wengi hawapendi muungano kwa hiyo kaamua kuaangamiza tembo wa Tanganyika? Huyu sio wa kumhurumia ni mhujumu uchumi wa tanganyika ambaye ni RAIA wa nchi ya nje ya Zanzibar ambayo ni nchi kamili kwa mujibu wa katiba ya Zanzibar ya 2010.


Mwarabu mwengine mpemba ni huyu Padri aliyeamua kuangamiza tembo wa Tanganyika.

Labda kwa jina la Yesu,

Lakini huyu ni wa kumhurumia kwa sababu hahujumu uchumi wa Tanganyika na ni Padri


PADRI AKAMATWA KWA UJANGILI HUKU BUNDUKI 48, RISASI 764 ZIKIKAMATWA





Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, akionyesha bunduki aina ya AK47 kati ya silaha zilizokamatwa katika msako maalum wa ujangili.

Na Daniel Mbega, Namanyere

PADRI wa Kanisa Katoliki Jimbo la Sumbawanga (jina linahifadhiwa) ni miongoni mwa watu 50 waliokamatwa kwa ujangili na Kikosi Kazi cha Taifa katika Pori la Akiba la Lwafi wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa.
Padri aliyekamatwa ni wa Parokia ya Kirando katika mwambao wa Ziwa Tanganyika, ambaye bunduki yake aina ya Rifle yenye darubini inadaiwa kutumika katika ujangili ndani pori hilo la Lwafi wilayani humo.

Taarifa za kipolisi zimeeleza kwamba, mbali ya kukamatwa kwa watu hao, pia jeshi hilo limekamata bunduki 48 za aina mbalimbali ikiwemo ya Padri huyo anayoimiliki kihalali, pamoja na risasi 764 na maganda ya risasi 101.

Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Jacob Mwaruanda amesema kuwa baadhi ya waliokamatwa silaha zao wanazimiliki kihalali lakini zinatumika kinyume na utaratibu wa kumilikishwa kwao.

"Watu hawa bado wanahojiwa na upelelezi utakapokamilika watafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake," alisema Kamanda Mwaruanda.
Kamanda Mwaruanda alisema kati ya bunduki 48 imo moja ya kivita aina ya AK47, bunduki 8 aina ya Rifle na risasi zake 83, Shortgun 19 na risasi zake 138, bastola 5 na risasi zake 133, magobore 15, magazine nne za bunduki aina ya Sub-Machine Gun, maganda matano ya bunduki aina ya Rifle, maganda 96 ya risasi za bunduki ya shortgun pamoja na vifaa vya kutengenezea bunduki za kienyeji na mitutu sita.

Watuhumiwa hao walikamatwa pia na nyara za serikali ambazo ni mikia sita ya tembo, nyama ya nyati kilo 20, miba ya nungunungu, ngozi moja ya paka-pori na pembe ya Nshya.



Kamanda Mwaruanda akifafanua jambo huku nyuma yake wanaonekana maofisa wa Kikosi Kazi cha Taifa pamoja na askari wa wanyamapori.


Kama Mwaruanda alitoa muda wa mwezi mmoja kuanzia sasa kwamba watu wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha mara moja kwenye vituo vya polisi au ofisi za serikali za vijiji kabla operesheni kabambe ya kuwatafuta watu hao haijaanza.

Rukwa na Katavi ni miongoni mwa maeneo ambayo ujangili kuua tembo umeshamiri sana hasa katika mapori ya akiba ya Lwafi na Hifadhi ya Taifa ya Katavi kutokana meno ya tembo kuonekana kuwa na soko katika mikoa mingine nchini na nchi jirani.


Kamanda Mwaruanda akionyesha kigudulia ambacho hutumiwa na majangili kubebea risasi.

Ofisa Mkuu wa Idara ya Ulinzi katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi, Davies Mushi alinukuliwa hivi karibuni kuwa kuwepo kwa soko zuri la biashara haramu ya nyara za Serikali hususan meno ya tembo ni moja ya sababu zinazochangia ongezeko la ujangili katika hifadhi hizo.

"Soko zuri la meno ya tembo lililopo katika mji wa Mpanda (Katavi), Sumbawanga (Rukwa), Tabora na maeneo mengine ya nchi linachangia sana kushamiri kwa ujangili ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi, lakini tunajitahidi kufanya doria ndani ya hifadhi na kukabiliana na kasi hii iliyopo ya kuua tembo inayofanywa na majangili ambao wengi wao ni kutoka nje ya nchi," alisema Mushi.
 
Wapemba, Waarabu, Wahindi na Wasomali ndio WATU wa ngeda, PEMBE ZA faru, Meno ya tembo na Wizi wote mkubwa unaotokea nchini, Wadau wote Kunako sirikali wanajua hilo na wengi wanatumiwa kutakatisha pesa haramu, HAYO NI MAJIDUBWASHIKA YA KUTIMUA KAMA ALIVYOFANYA IDI AMIN WARUDI MAKWAO


MPEMBA MWENGINE HUYU MCHUNGAJI WA KANISA ASHIKWA KWA UJANGIRI NAYE HATAKI MUUNGANO

Meno ya tembo yamefichwa kanisani TEHTEHTEHHHH

Mlinzi nani au ni yesu ????


Jeshi la Polisi Mkoani Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Tanapa wa Hifadhi ya wanyama ya Katavi wame wamemkamata mchungaji wa Kanisa la Moroviani Kata ya Usevya Tarafa ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele akiwa na mtu mmoja ambao wajina yao yamehifadhiwa wakiwa na meno ya tembo 11 yenye thamani ya shilingi milioni 90 wakiwa wameyahifadhi ndani ya Kanisa.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi Damas Nyanda aliwaambia waandishi wa Habari jana ofisini kwake kuwa watuhumiwa hao walikamatwa juzi majira ya saa mbili na nusu katika Kanisa la Moroviani ililoko katika Kijiji cha Usevya.

Alisema Mchungaji huyo wa Kanisa la Moroviani akiwa na mwenzake mmoja ambao majina yao yamehifadhi kwa sababu za kiupelelezi walikamatwa kufuatia taarifa zilizolifikia Jeshi la Polisi na kwa Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi kuwa watu hao wanajihisisha na biashara hara haramu ya meno ya Tembo na wamekuwa wakiyahifadhi ndani ya Kanisa.

Baada ya taarifa hizo polisi na Tanapa walianza kufanya uchunguzi kuhusiana na taarifa hizo walizozita kutoka kwa Raia wema hukusiana na tuhuma za biashara hiyo haramu ya meno ya Tembo.

Kaimu Kamanda Nyanda alieleza ndipo jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Askari wa Tanapa walipoweza kufika katika Kanisa la Moroviani Usevya na kufanya upekuzi ndani ya Kanisa hilo.

Katika upekuzi huo waliweza kukamata meno ya Tembo vipande 11 yenye uzito wa kilogramu 20.3 yenyethamani ya shilingi Milioni 90 yakiwa yamehifadhiwa ndani ya tenga la kubebea mizigo yakiwa yamehifadhiwa ndani ya Kanisa la Moroviani Usevya lililokuwa likiongozwa na mchungaji huyo anaeshikiliwa na Polisi.

Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi alisema katika matukio mengine mawili tofauti yaliotokea Mei 8 majira ya saa mbili usiku huko Katika maeneo ya Mgolokani Kata ya Sitarike Tarafa ya Nsimbo Wilaya ya Mlele Polisi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Katavi walimkamata mtu mmoja ambae jina lake limehifadhiwa akiwa na jino moja la Tembo ..

Kwa mujibu wa Nyanda mtuhumiwa huyo alikamatwa baada ya Askari kufanya upekuzi ndani ya nyumba yake mtuhumiwa na ndipo walipo weza kukamatwa na jino moja la Tembo likiwa limefifadhiwa ndani ya nyumba yake .

Tukio la pili lilitokea siku hiyo hiyo katika maeneo ya Mgolokani Kata ya Sitalike ambapo mtu mmoja ambae nae jina lake limehifadhiwa kwa ajiri ya upelelezi alikamatwa akiwa na jino moja la Simba akiwa amerihifadhi ndani ya nyumba yake.

Mtuhumiwa alikamatwa baada ya kufanyika upekuzi ndani ya nyumba yeke na ndipo alipokamatwa akiwa na jino moja la samba akiwa amehifadhi ndani ya nyumba yake

Kaimu Kamanda Damas Nyanda alisema watuhumiwa wote waliokamatwa kwenye matukio hayo matatu wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani wakati wowote ili kujibu tuhuma zinawazo wakabili.

Ametowa wito kwa wananchi wanaojihusisha kufanya biashara haramu za magendo kama vile uharibifu wa rasilimali za Taifa mfano vitendo vya ujangili uwindaji haramu kuacha mara moja na badala yake wafanya shughuli harali katika kujipatia kipato chao.
 
Huyo mpemba anaonekana kuwa na nguvu sana hadi rais anaogopa kumtaja. Yale yale ya JK kusema kuwa ninaorodha ya wauza madawa ya kulevya. Yaani rais mwenye maguvu na mikwara yote ya kusema hajaribiwi ameshindwa kumtaja huyo mpemba. Mbona watuhumiwa wengne huwa wanatajwa na uchunguzi ukawa unaendelea?
 
Wakuu naomba kufahamishwa kwa anayejua.
Juzi kati raisi alipotembelea wizara ya mali asili alimtaja mpemba kuwa anahusika na biashara ya pembe za ndovu, huyu Mpemba ni nani kwa anamjua atuambie na sisi tumjue adui huyu wa taifa.
Tumesha anza kutambuana kwa makabila ???????????
 
Huyo mpemba anaonekana kuwa na nguvu sana hadi rais anaogopa kumtaja. Yale yale ya JK kusema kuwa ninaorodha ya wauza madawa ya kulevya. Yaani rais mwenye maguvu na mikwara yote ya kusema hajaribiwi ameshindwa kumtaja huyo mpemba. Mbona watuhumiwa wengne huwa wanatajwa na uchunguzi ukawa unaendelea?

Tumepata maana mpya ya jangili ni Mpenba so kuanzia leo mtu anayeua tembo ni Mpemba atakayekamatwa na Pembe za ndovu ni Mpemba.
 
Wapemba, Waarabu, Wahindi na Wasomali ndio WATU wa ngeda, PEMBE ZA faru, Meno ya tembo na Wizi wote mkubwa unaotokea nchini, Wadau wote Kunako sirikali wanajua hilo na wengi wanatumiwa kutakatisha pesa haramu, HAYO NI MAJIDUBWASHIKA YA KUTIMUA KAMA ALIVYOFANYA IDI AMIN WARUDI MAKWAO

Tusibaguane kwa rangi ya mwili au kabila wala tusishikwe na Wivu wa maendeleo kwa wenzetu wenye asili ya Kiasia cha msingi na sisi waswahili tuache uvivu na kujikita katika kutafuta maisha what If Rais angesema huyo muhusika wa meno ya tembo ni MCHAGA so wachaga wote wangekuwa waizi ni vyema tukatambua namna ya kuchambua taarifa kabla ya kuja na general conclusivo ya jambo.
 
Au ni Yule aliesafirisha mizigo bila kujua mwenye ni Nani?
 
Tumepata maana mpya ya jangili ni Mpenba so kuanzia leo mtu anayeua tembo ni Mpemba atakayekamatwa na Pembe za ndovu ni Mpemba.


Ni kweli kwani hata Mapadri na wachungaji wanaoficha meno ya tembo kanisani wote majina yao yamehifadhiwa , lakini wanajulikana . Mpemba ndiye anayejulikana kwenye biashara hii
 
nilisikia kwenye chambuzi za magazeti kuwa hasanoo kapata dhamana


Afadhali huyo hasanoo kapata dhamana , Mapadri na wachungaji ndio wanadunda na kesi zao ziko kwenye uchunguzi wa infinity
 
Hii kesi ya Padri aliyekamatwa ilimalizikia vipi ???

PADRI AKAMATWA KWA UJANGILI HUKU BUNDUKI 48, RISASI 764 ZIKIKAMATWA




Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda, akionyesha bunduki aina ya AK47 kati ya silaha zilizokamatwa katika msako maalum wa ujangili.


Na Daniel Mbega, Namanyere

PADRI wa Kanisa Katoliki Jimbo la Sumbawanga (jina linahifadhiwa) ni miongoni mwa watu 50 waliokamatwa kwa ujangili na Kikosi Kazi cha Taifa katika Pori la Akiba la Lwafi wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa.
Padri aliyekamatwa ni wa Parokia ya Kirando katika mwambao wa Ziwa Tanganyika, ambaye bunduki yake aina ya Rifle yenye darubini inadaiwa kutumika katika ujangili ndani pori hilo la Lwafi wilayani humo.
Taarifa za kipolisi zimeeleza kwamba, mbali ya kukamatwa kwa watu hao, pia jeshi hilo limekamata bunduki 48 za aina mbalimbali ikiwemo ya Padri huyo anayoimiliki kihalali, pamoja na risasi 764 na maganda ya risasi 101.
Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Jacob Mwaruanda amesema kuwa baadhi ya waliokamatwa silaha zao wanazimiliki kihalali lakini zinatumika kinyume na utaratibu wa kumilikishwa kwao.

"Watu hawa bado wanahojiwa na upelelezi utakapokamilika watafikishwa mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake," alisema Kamanda Mwaruanda.

Kamanda Mwaruanda alisema kati ya bunduki 48 imo moja ya kivita aina ya AK47, bunduki 8 aina ya Rifle na risasi zake 83, Shortgun 19 na risasi zake 138, bastola 5 na risasi zake 133, magobore 15, magazine nne za bunduki aina ya Sub-Machine Gun, maganda matano ya bunduki aina ya Rifle, maganda 96 ya risasi za bunduki ya shortgun pamoja na vifaa vya kutengenezea bunduki za kienyeji na mitutu sita.

Watuhumiwa hao walikamatwa pia na nyara za serikali ambazo ni mikia sita ya tembo, nyama ya nyati kilo 20, miba ya nungunungu, ngozi moja ya paka-pori na pembe ya Nshya.


Kamanda Mwaruanda akifafanua jambo huku nyuma yake wanaonekana maofisa wa Kikosi Kazi cha Taifa pamoja na askari wa wanyamapori.

Kama Mwaruanda alitoa muda wa mwezi mmoja kuanzia sasa kwamba watu wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha mara moja kwenye vituo vya polisi au ofisi za serikali za vijiji kabla operesheni kabambe ya kuwatafuta watu hao haijaanza.

Rukwa na Katavi ni miongoni mwa maeneo ambayo ujangili kuua tembo umeshamiri sana hasa katika mapori ya akiba ya Lwafi na Hifadhi ya Taifa ya Katavi kutokana meno ya tembo kuonekana kuwa na soko katika mikoa mingine nchini na nchi jirani.


Kamanda Mwaruanda akionyesha kigudulia ambacho hutumiwa na majangili kubebea risasi.

Ofisa Mkuu wa Idara ya Ulinzi katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi, Davies Mushi alinukuliwa hivi karibuni kuwa kuwepo kwa soko zuri la biashara haramu ya nyara za Serikali hususan meno ya tembo ni moja ya sababu zinazochangia ongezeko la ujangili katika hifadhi hizo.

"Soko zuri la meno ya tembo lililopo katika mji wa Mpanda (Katavi), Sumbawanga (Rukwa), Tabora na maeneo mengine ya nchi linachangia sana kushamiri kwa ujangili ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Katavi, lakini tunajitahidi kufanya doria ndani ya hifadhi na kukabiliana na kasi hii iliyopo ya kuua tembo inayofanywa na majangili ambao wengi wao ni kutoka nje ya nchi," alisema Mushi.
Itakua nao walilipa fine kma ilivyotokea hivi juzi huko Mbeya ,Mbarali
 
tatizo la la mzee wa PhD ni kupayuka bila ya kufikiri.. mi simuamini sana
 
muuza duka wa jiran kwetu anaitwa mpemba nahis ni huyo.
 
Back
Top Bottom