Mpelekee yule dada bia . . .

hiyo hali haijawahi kunikuta na naomba isinikute......
kwenda bar peke yangu? no ways......
hata kama nakutana na watu na ikatokea mimi nimewahi kufika sitoki kwenye gari mpaka wafike. siwezi kabisa kukaa bar peke yangu, sijui kwa nini

Wewe uliyekwenda na gari binafsi utafanya hvyo wakati unawasubiri hao ambao una miadi nao. Vp kuhusu yule anayetumia daladala?
 
si sahihi mwanamke kwenda bar mwenyewe.. taswira nyepesi inayojengeka anaoneka ana uza..
na vile uko mwenyewe lazima ukubali usumbufu

swadaktar!! nimeyakubali na ntayafanyia kazi
 
Wewe uliyekwenda na gari binafsi utafanya hvyo wakati unawasubiri hao ambao una miadi nao. Vp kuhusu yule anayetumia daladala?
siku hizi tuna simu......
nikishuka kituoni nampigia, kama hajafika basi nitasubiri kituo cha daladala kama nasubiri mgeni, lol!
 



Kongosho, hofu ya nn? C unywe tu, ujue wanaume wa tz tumeumbwa na ukarmu sana af tunajua kuwawezesha. C mpaka muwezeshwe ndo mnaweza so ni mojawapo ya uwezeshaji.
 
Last edited by a moderator:
ungemwambia waiter wapelekee soda wale watoto na mama yao, halafu mpe baba yao bia
 
inakera sana.
Dawa akikuletea bia moja wewe muagizie bia 3! Wapuuzi sana
Kongosho hakasiriki kuagiziwa bia...
anakasirika kuagiziwa bia wakati yeye anakunywa konyagi, lol!
kuna siku baa fulani wanafunzi walimnunulia bia lecturer wao..... barmaid akamwambia bia inatoka kwa wale wanafunzi....
akamwambia kawaambie asante.
akanywa akamaliza akamwita yule muhudumu akamlipa bia creti zima akamwambia awapelekee wale wanafunzi. mbona walikoma!
 
Last edited by a moderator:
Bado mwanamke wa asili
Mie kuna saa nataka nikae mwenyewe nipunge upepo weee

hiyo hali haijawahi kunikuta na naomba isinikute......
kwenda bar peke yangu? no ways......
hata kama nakutana na watu na ikatokea mimi nimewahi kufika sitoki kwenye gari mpaka wafike. siwezi kabisa kukaa bar peke yangu, sijui kwa nini
 

Nimechekaje leo...eti utawaacha wajane na yatima kwa kurestisha watu in peace. Lol
 
kama umejiegesha maeneo ya kukusanyia hesabu, lazima waseme na wewe!
hata hivyo unahiyari ya kukataa ofa au kukubali.Tena ushukuru walmethaminisha ndo maana unagongewa ofa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…