Mpango wa UVCCM wafichuka

Mpango wa UVCCM wafichuka

General Mangi

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2013
Posts
15,316
Reaction score
23,178
Wana ccm wenyewe kwa wenyewe hawa aminiani, siri zote zao zinavuja, ndo kusema walipo ccm 10 wafuasi wa lowassa ni 4, hatari sana.
Hii imegundulika katika grupu moja la uvccm katika kufanya mipango ya ulaghai na uhuni kwenye mitandao ya kijamii.

Kumbe tunapoona post zao za uzushi hizi ndizo mbinu zao wanazotumia kudanganya watu.

HIVYO BASI WANAUKAWA WOTE TUWENI MAKINI NA USHENZI HUU, NA TUWAPUUZEE KWA KILA POSTI WABAZOTULETEAA
 
huu ndio mpango ktk grupu lao la whatsapp
 

Attachments

  • 1441602332727.jpg
    1441602332727.jpg
    53.6 KB · Views: 1,945
hiyo namba ya simu inabidi TCRA washughulike nayo

hizi regulatory Authorities zetu me siziamini sana ujue, hao TCRA kuna ujinga mwingi sana unafanyika ila wanaukenulia tu,moja wapo ni huduma mbovu za mitandao ya makampuni ya simu particularly TIGO
 
Last edited by a moderator:
hizi regulatory Authorities zetu me siziamini sana ujue, hao TCRA kuna ujinga mwingi sana unafanyika ila wanaukenulia tu,moja wapo ni huduma mbovu za mitandao ya makampuni ya simu particularly TIGO

wafaham hicho ndio chanzo cha vurugu, hivi na vijana wa UKAWA wakianza kufanya hivyo kitatokea nn? kama wameweka sheria wazisimamie.
Pia sitakuwa na imani na NEC endapo haitatoa onyo kwa CCM kwa kukiuka sheria na kupitiliza kwa muda wa mikutano.
 
Last edited by a moderator:
Duhh kumbe hata zile kasfa za viroba za kubuni
 
-Kwa Muda Mrefu Watanzania tumekua Watu wa kulalamika Lalamika tuu.

-Mara Hakuna huduma Nzuri Mahospitalini.
-Wanafunzi Wamekosa Ada na Mahitaji mengine mengi.
-Vijana Hawana ajira .
-Mishahara Midogo.
-Hakuna Mafao kwa Wazee Wetu
-Wakulima Hawapati Haki Zao
-Migogoro ya Ardhi
-Miundo Mbinu Mibovu.
-Wanachuo Kukosa Mikopo
-Hakuna Maji
-N.k
Sasa wakati umefika wa kuyaondoa haya kupitia kula yako hapo 25 October kwa kuweka tiki kwa Upinzani hususani Vyama vinavyounda UKAWA.

Watanzania hatupaswi kua Watu wa kulalamika lalamika siku zote wakati wa Mageuzi ndio sasa.

Watanzania Je Tutapataje Kupona Tusipojari Mabadiko Makuu Namna Hii?
 
Hata hapa jf nimewagundua wanaleta vipost vya ajabu ajabu ili kuleta sistruction na kutoa wat kwenye hoja
 
Mimi hata kabla ya huo mpango kufichuka nilishajua kuna kitu kinaendelea, kuna mtu anajiita CHIN, post zake hata sichangii, na nilifugua ni kwa bahati mbaya na huwa sizisomi.
 
Niliona ile ya Kafulila kuzomewa Kigoma nikagundua tu kwamba wazushi wako kazini
 
Wana ccm wenyewe kwa wenyewe hawa aminiani, siri zote zao zinavuja, ndo kusema walipo ccm 10 wafuasi wa lowassa ni 4, hatari sana.
Hii imegundulika katika grupu moja la uvccm katika kufanya mipango ya ulaghai na uhuni kwenye mitandao ya kijamii.

Kumbe tunapoona post zao za uzushi hizi ndizo mbinu zao wanazotumia kudanganya watu.

HIVYO BASI WANAUKAWA WOTE TUWENI MAKINI NA USHENZI HUU, NA TUWAPUUZEE KWA KILA POSTI WABAZOTULETEAA

Mpuuzi mmoja wao ni huyu hapa Mr Chin anapost ujinga na upuuzi kama alivyoyeye mwenyewe. Huwa nikiona post zake walasiangaingi kufungua link yake yoyote ni muongo kama Kikwete au Magufuli
 
yaliyomkumba January Makamba pale uwanja wa taifa kila mtu amejionea mwenyewe.
 
Hali mbaya sana ccm,kura watapata kwa wavaa sare tuu za ccm
 
Back
Top Bottom