Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,270
- 9,414
Duuh,kimepiga mule muleHiki kitabu nilipost hapa 2019 before corona kupamba moto View attachment 1884235
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Duuh,kimepiga mule muleHiki kitabu nilipost hapa 2019 before corona kupamba moto View attachment 1884235
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitabu nilipost hapa 2019 before corona kupamba moto View attachment 1884235
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo ya duia hii bwana waliyoyapanga wote washakufa na kuyaacha na sisi tutakufa tutayaacha as long as hakuna anayeishi milele... sasa yanini kujochosha!
Kila mtu aangalie maisha yake bana! Tusitishane

Nyie ni waongo nionyeshe hayo maneno hapa ninacho hicho kitabu nimeangalia hamna. Sema sura ya ngapiCheki hiyo picha ya hicho kitabu katika kurasa wake wa katikati ni nini maoni yako View attachment 1135668
View attachment 1884239
Huwa mnaharibu hapo kwenye kusema wataikamilisha karne nyingi zijazo, wanatekeleza na kufanikisha mipango yao kila siku na sio kusubiri muda huo hata sasa wanamipango wameshaitekeleza... Hivyo ni mfumo ambao upo unafanya kazi na unafanikisha kazi zake... au huwa tunafanya online payment kwa pesa gani kwa kiasi kikubwa..? Almost tunatumia currency moja.. Je hatuongei lugha moja kuhusu haki za kibinadamu duniani..?? Na anayeenda kinyume tunamtizama kwa jicho la hasira...Ni Mipango Ya Karne Nyingi Ila Wameanza Zamani Sana Na Bado Wanaendelea Na Mpango Wa Ulimwengu Mpya. Wataikamilisha Karne Nyingi Zijazo
Hii ipo kwenye ukurasa wa ngapi wa hicho kitabu?
Nimejaribu kutafuta vaccine, 5G kwa hicho kitabu, sijaona kabisa.
Au hayo maandishi hayapo kwenye hicho kitabu?
Yeah kwenye ebook hiyo page imeondolewa, hiyo kwenye picha ni hardcopyNyie ni waongo nionyeshe hayo maneno hapa ninacho hicho kitabu nimeangalia hamna. Sema sura ya ngapi
Yeah kwenye ebook hiyo page imeondolewa, hiyo kwenye picha ni hardcopy
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakiomba km unacho kiongozi, kitanifaaHiki kitabu nilipost hapa 2019 before corona kupamba moto View attachment 1884235
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakiomba na mie, kwangu kinakataaNashukuru, nimefanikiwa kukidownload
Namimi naomba nikioneNashukuru, nimefanikiwa kukidownload
Watafeli hawawezi kufanikiwaNi Mipango Ya Karne Nyingi Ila Wameanza Zamani Sana Na Bado Wanaendelea Na Mpango Wa Ulimwengu Mpya. Wataikamilisha Karne Nyingi Zijazo
Mimi pia imenibidi kukitafuta, sijaona vaccine wala 5G.Hii ipo kwenye ukurasa wa ngapi wa hicho kitabu?
Nimejaribu kutafuta vaccine, 5G kwa hicho kitabu, sijaona kabisa.
Au hayo maandishi hayapo kwenye hicho kitabu?
Ok sawaYeah kwenye ebook hiyo page imeondolewa, hiyo kwenye picha ni hardcopy
Sent using Jamii Forums mobile app
.Mashetani yana njia nyingi za kutisha watu...