Bana Balume
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 999
- 2,726
- Thread starter
- #21
Hicho apoView attachment TheNewWorldOrder.pdfMkuu naomba uni PM kitabu kama unacho
Hicho apoView attachment TheNewWorldOrder.pdfMkuu naomba uni PM kitabu kama unacho
Mi kimenigomea kufunguka 'source file could not be read', jaribu tena kukiwekaPdf ya hicho kitabu Hiyo apo wakuuView attachment 1137377
Hicho apoView attachment TheNewWorldOrder.pdfMi kimenigomea kufunguka 'source file could not be read', jaribu tena kukiweka
Nashukuru, nimefanikiwa kukidownload
well said mkuuKitu ambacho watu hawajui ni kwamba yule joka alishafunguliwa na anaitawala Dunia,Biblia imeweka wazi kuwa siku za mwisho upendo utapoa ndugu watasalitiana na kuuana.Sikiliza vyombo vya Habari kila siku habari ni mauaji tu Tena ya wapenzi ndugu marafiki watoto nk.Dunia inamwaga damu kila siku.Mfumo wa maisha umebadilishwa kula Jicho ni Jambo la kawaida Sasa tumeanza kuzoea na kupokea na kulasimisha rasmi ushoga na usagaji,kamali ndio mfumo wa maisha kwa Sasa Kama hautazini na shoga basi utamfanya mkeo ni vurugu tupu Mwana wa kiume kauza haki zake kwa mwanamke na mwanamke kwa Sasa nae kichwa kwa maamuzi yote ya Dunia.Kwa ufupi usiku tufanye toba asubuhi tufanye toba.Kama unasubiri 666 basi utakuwa umechelewa maana hiyo no ni mamlaka na ndio yanayofanga kazi.Tutende wema.Ni mawazo yangu tu.
Mmmmh..!!Katika maono yangu niliona kuna matukio ya kuogofya katika anga kabla ya kuanza vurugu na mateso, nafikiri haya mambo ya UFO itakuwa ni maandalizi ya kuanza hizi ishu. Inaonekana hao UFO ndo mawakala wa ibilisi watakaokuja kutekeleza huo mpango wa NWO
Hatari sana, lakini watakaovumilia hadi mwisho wataokoka. unaambiwa Mungu asipofupisha hizo siku za mateso hakuna binadamu ataokolewaMmmmh..!!
Mi kimenigomea kufunguka 'source file could not be read', jaribu tena kukiweka
Mkuu wapo watakaotoka sema kwa mujibu wa maandiko watakuwa wachache.Hii kitu siyo ya jana wa juzi long as hujazaliwa au kuzaliwa huu mfumo unafanya kazi mujarabu na kwa hatua nzuri tu.
Mfano leo unasajiliwa line zako kwa vidole vyako hii inakupa picha gani?
Hao jamaa wanafanya majumuisho yao katika hali ya kipekee sana na hakuna atakayetoka!.
Asante sana mkuu. Nimekipata.Pdf ya hicho kitabu Hiyo apo wakuuView attachment 1137377
Sijaelewa bado ..!!Hatari sana, lakini watakaovumilia hadi mwisho wataokoka. unaambiwa Mungu asipofupisha hizo siku za mateso hakuna binadamu ataokolewa
Fanya bidii ya kufuatilia, utaelewa tuSijaelewa bado ..!!
Fanya bidii ya kufuatilia, utaelewa tuSijaelewa bado ..!!
Nelewa mada ila majibu yako ndiyo siyaelewi ...!!Fanya bidii ya kufuatilia, utaelewa tu
Ni watu wachache sana wanakaa mkao wa kuelewa, fuatilia maandiko utagundua asilimia kubwa walikuwa wanaangamia pamoja na kupewa maonyo ya kinabiiNelewa mada ila majibu yako ndiyo siyaelewi ...!!
asante mkuu!Pdf ya hicho kitabu Hiyo apo wakuuView attachment 1137377