Totos Boss
JF-Expert Member
- Dec 30, 2012
- 5,456
- 1,569
Samahani kuhusu kichwa cha habari yako.
Mpango wa MUNGU hauwezi kufeli.
Mpango wa MUNGU hauwezi kufeli.
Huu utenzi wako mbona unajikanganya?Huoni kuna contradiction kwenye sentensi hii moja uloandoka, hivi ukiandaa kurasa 3 itakuwaje?Mi nadhani wewe imani yako ni haba ndo maana unaweweseka.
Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Hujitambui wewe kojoa ukalale kwani ulichokiandika tafsiri yake hata wewe huwezi kutujuza.CHADEMA hamna akili mtapokeaje mra rushwa?? Tena Mbowe kapewa bil 10 kauza chama Kwa mafisadi?
unauhakika au umemezeshwa tu bila kutafuna? jamaa yangu hua anasema umelopokwaCHADEMA hamna akili mtapokeaje mra rushwa?? Tena Mbowe kapewa bil 10 kauza chama Kwa mafisadi?
Mungu yupi hata wewe waweza kumtaja?Hapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"
Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.
Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.
Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.
Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.
Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!
uyu mtu anautaka uraisi kwa nguvu zote...kuna nini huko Ikulu...au ndio visasi?hapana..kuna kitu!!poleni Chadema
Juliana Shonza ni mkuu wa wilaya ya wapi?
Shikamoo mh dc
Hapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"
Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.
Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.
Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.
Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.
Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!
Hee wewe!pole yako mama na Mungu akusamehe bure tu maana hujui ulisemalo.Naendelea kumshukuru MUNGU kwa kuniongoza mapema na kutokuwa sehemu ya AIBU.
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.Hapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"
Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.
Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.
Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.
Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.
Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!
Dah kisa unaibu waziri na ubunge wa kuteuliwa... Usidhani wewe ni bora kuliko Nape Membe wala Kinana.... Usijichimbie kaburi binti.... Kesho IPO na unabii haujatimia.. Tutakumbushana muda ukifikaHapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"
Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.
Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.
Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.
Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.
Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!