Mpango wa MUNGU uliuofeli kabla ya kuanza

Mpango wa MUNGU uliuofeli kabla ya kuanza

Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe la pembeni. Na kila atakayejikwaa katika hilo jiwe atasagika tikitiki!!
 


Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Huu utenzi wako mbona unajikanganya?Huoni kuna contradiction kwenye sentensi hii moja uloandoka, hivi ukiandaa kurasa 3 itakuwaje?Mi nadhani wewe imani yako ni haba ndo maana unaweweseka.

 
Hapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"

Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.

Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.

Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.

Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.

Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.

Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!
Mungu yupi hata wewe waweza kumtaja?
 
Hapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"

Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.

Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.

Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.

Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.

Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.

Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!

We we Una akili kweli?
Unajua kuwa biblia inasema Mungu hadhihakiwi?

Sasa unashindwa kuandija bila kumusisha Mungu?
Uliona wapi Mungu kafeli?.

Tena,ukatubu,bure kabisa ww
 
Toka umekimbia BAVICHA / CDM uwezo wako wa kujenga hoja umepungua kama thamani ya shilingi; sasa sijui ukipewa huo ubunge wa kitu (utamu) maalum utaongea nini bungeni!
 
Naomba mtupie kapicha ka huyu Shonza, hivi huyu si ni kabira,moja na Act.
 
Hapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"

Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.

Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.

Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.

Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.

Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.

Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!
Kiukweli tulikuwa tunaidharau jf, lakini amini usiamini, mabandiko kama haya, yamesaidia saidia, huwezi jua!. Zamani nilikuwa napitia mabandiko yako kwa dharau na kujibu kwa kejeli, lakini baada ya uteuzi, sasa napitia mabandiko yako yote kwa makini zaidi, heshima na adabu haswa kwa kuzingatia wewe sasa ndio bosi wangu kwenye tasnia ya habari.

Karibu Boss, Mheshimiwa saba, Bi Juliana Shonza.

Paskali.
 
Hapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"

Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.

Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.

Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.

Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.

Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.

Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!
Dah kisa unaibu waziri na ubunge wa kuteuliwa... Usidhani wewe ni bora kuliko Nape Membe wala Kinana.... Usijichimbie kaburi binti.... Kesho IPO na unabii haujatimia.. Tutakumbushana muda ukifika
 
Back
Top Bottom