JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,265
- 5,358
Viongozi wa mila wa jamii za kifugaji, kwa kushirikiana na Mangariba Wilayani Kiteto, mkoani Manyara, wameanza kutekeleza mpango wa kitaifa wa kutomokeza ukeketaji, kwa kupiga marufuku mila hiyo
Kwa umoja wao wamewataka Mangariba kusalimisha zana zao kama njia mojawapo ya kutokomeza vitendo hivyo, ambavyo vinahatarisha afya za Wanawake na ustawi wao
Naye Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere amesema jukumu la ulinzi na usalama la watoto ni la jamii nzima na hivyo Sheria inawataka kulinda mtoto
Chanzo: ITV
Pia soma: Manyara: Ngariba 37 wajisalimisha, wakabidhi visu vya kukeketea
Kwa umoja wao wamewataka Mangariba kusalimisha zana zao kama njia mojawapo ya kutokomeza vitendo hivyo, ambavyo vinahatarisha afya za Wanawake na ustawi wao
Naye Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere amesema jukumu la ulinzi na usalama la watoto ni la jamii nzima na hivyo Sheria inawataka kulinda mtoto
Chanzo: ITV
Pia soma: Manyara: Ngariba 37 wajisalimisha, wakabidhi visu vya kukeketea