KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,513
Sasa Mkuu ulitakaje lakini? wafumue Dar na kupanua jiji au kupanua huduma muhimu za jamii?Acha tusubirie kulipwa fidia sasa.
Ila sio siri Dar ipo hovyo sana
Sasa Mkuu ulitakaje lakini? wafumue Dar na kupanua jiji au kupanua huduma muhimu za jamii?Acha tusubirie kulipwa fidia sasa.
Ila sio siri Dar ipo hovyo sana
Mkuu nakupongeza kwa kuona mbali katika michango yako humu nakupa salute.Wizi mtakatifu unapangiwa mikakati maalum.
Mkuu nakupongeza kwa kuona mbali katika michango yako humu nakupa salute.
Mkuu ume hit pale pale,watakaochukia kuhusu ngosha sisi hatujali kabisa,ukweli na usemwe tu,leo nchi ina mambo mengi yalio nyuma kupita dunia ya tatu,nchi zote zilizokuwa nyuma ya Tanzania leo zipo mbele yetu,na hii imetokana na viongozi kuingia madarakani ili kuiba tuuu,sababu kubwa ni uoga wa wananchi kuikemea serikali hata kama kuna kifo,lakini wapi hakuna shida kuisha Tanzania mpaka wananchi waamue kwamba sasa baasi inatosha.Ahsante sana Mkuu, historia ya Serikali ya CCM kwenye miradi mikubwa ya Kitaifa siku zote hawaweki maslahi ya Taifa mbele. Ukiangalia ununuzi wa Rada, IPTL, Richmond/Dowans, ndege ya Rais, mikataba ya rasilimali za nchi, Escrow n.k. Hivyo hapa pia watakwapua mabilioni ya pesa na ndiyo sababu Magufuli alianza mkwara wa kutaka kumuondoa ili aondoe kizingiti kikubwa na kumuweka CAG uchwara. Kuna uzi ulianzishwa humu na msaliti Mwanakijiji wa kumshambulia CAG na kumshinikiza ajiuzulu.
mkuu umetisha sn! hata wao waliimba kw CCM NI ILE ILE so hawawezi kubadilika watz tumeshaingia choo cha kike tena kwa propaganda za muda mfupi tukamuona mtendaji kazi oooh jembe ila nothing else wote ni wale waleAhsante sana Mkuu, historia ya Serikali ya CCM kwenye miradi mikubwa ya Kitaifa siku zote hawaweki maslahi ya Taifa mbele. Ukiangalia ununuzi wa Rada, IPTL, Richmond/Dowans, ndege ya Rais, mikataba ya rasilimali za nchi, Escrow n.k. Hivyo hapa pia watakwapua mabilioni ya pesa na ndiyo sababu Magufuli alianza mkwara wa kutaka kumuondoa CAG ili aondoe kizingiti kikubwa na kumuweka CAG uchwara. Kuna uzi ulianzishwa humu na msaliti Mwanakijiji wa kumshambulia CAG na kumshinikiza ajiuzulu.
Na hii miradi ya kutumia pesa nyingi sana uhamiaji wa Dodoma, mkopo wa Trilioni 16 toka Exim bank, ununuzi wa ndege haijadiliwi Bungeni na Wabunge ndiyo ambao wanastahili kuidhinisha matumizi yote ya Bunge na si Rais wa nchi. Sababu nyingine ya kuwafungia Wabunge makini na kamati uchwara ya maadili Bungeni wakati huo huo mafisadi akina Chenge, Tibaijuka, Ngeleja na wengineo ndani ya Bunge hilo hawajaguswa na hiyo kamati uchwara ya maadili.
ni kweli kabisaWanaweza kuwadanganya watanzania kadhaa kwa muda wote na wanaweza kuwadanganya watanzania wote kwa muda kadhaa lakini kamwe hawawezi kuwadanganya watanzania wote kwa muda wote
Huu ni UFISADI mpya.Watatumia dola million 300 kupiga picha ya angani?
WENGI eeh?Wengi watanufaika kwa hili
Wakati Serikali ikiwa katika mchakato wa kuhamia rasmi makao makuu ya nchi mkoani Dodoma, imeweka wazi kwamba mpango wa kulifumua upya jiji la Dar es salaam na kulifanya kuwa kitovu cha biashara sasa umeiva.
Akizungumza na wadau mbalimbali wa uwekezaji katika ujenzi jijini Dar es salaam, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, alisema mchakato wa kupanga mpango mpya wa mji 'City Master Plan' wa Dar es salaam tayari umeanza.
Alisema mpango mpya wa Mji wa Dar es salaam unatarajiwa kupatikana kabla ya Desemba mwaka huu ambapo kampuni kutoka Italia kwa kushirikiana na watanzania wanaifanyia kazi.
"Pamoja na kuhamia Dodoma ni lazima tuifumue Dar es salaam na kuifanya kuwa kitovu cha biashara kwa kuwa majengo ya kisasa yatakakuza uchumi wetu.
"Tunatarajia kutumia Dola milioni 300 kwa ajili ya kupiga picha angani kwa ndege ili kuipata Dar es salaam vizuri na kutengeneza mpango mji utakaokuwa wa kisasa "alisema Lukuvi
Pia Waziri Lukuvi aliwahamasisha wadau hao kujiandaa kuwekeza Dar es salaam na Dodoma kwa kuwa Serikali itakapohama jijini majengo yote ya Serikali yatahitaji uwekezaji
" Hii ni fursa ambayo mnatakiwa kuiangalia kwa karibu kwani kwa upande wa Dodoma kutahitajika huduma nyingi ikiwamo ya majengo ambayo yanakuwa ya makazi, ofisi na huduma nyingine za kiuchumi.
"Na wakati huo huo Serikali itakapohamia Dodoma, jijini hili litatakiwa kuwa na mwonekano wa kisiasa ili liwe na mvuto wa kibiashara na kukuza uchumi wetu "alisema Lukuvi
Pamoja na kuwahamasisha wadau hao ambao wengi ni wamiliki wa makampuni ya ujenzi, Waziri Lukuvi aliwataka kuhakikisha wanaotumia teknolojia za kisasa na kuwa na majengo yenye ubora na imara.
Chanzo :Mtanzania
Siooo $300million. Ni $3 million na Kampuni iliyopewa Ni Norplan. Naomba tusipotoshe wananchi.Watatumia dola million 300 kupiga picha ya angani?
Upo right Jay 1.. waziri alisema ni $3mil. Huyuu jamaa ameongezaa "00" zake...$ 300 Mil...? Kwa photos za angani that is not ACCEPTABLE...!! Haijawahi tokea duniani... picha za angani si ghali hivyo... kama Waziri kasema hiyo figure ni hatari sasa...!!! Nadhani $ 30 mil...!! Miji yote mikubwa duniani gharama za kupiga picha angani ni cheap sio hiyo gharama...!!
$ 30 Mil nadhani, ambayo still ni kubwa sana sana tu bado...!!
Mm nadhani hizo $300m..ni kwa ajili ya kuwalipa watu watakaobomolewa..haiwezekani hizo pesa zote ziteketee...kwa kupiga picha za juu...that's stupid!nchi hii itakuja kuwa na watu wenye weledi mzuri lini ..ili waweze kutuandikia kitu kinachoeleweka?Sijajua upangaji huu mji inamaana watatubomolea sie walala hoi