Mpango wa kulifumua upya jiji la Dar na kulifanya kuwa kitovu cha biashara sasa umeiva

Kweli serikali ya mwendokasi mnavutuko sana na mmepotezana kabisaa,yaani kila kukicha ni vitimbi ninaweza sema kwani mara tamko hili mara lile na lile awali hamkufanya so headache for sure.
Dolla milioni 600 kwaajili ya aerial photograph ni Billions of money ambazo zingekitatua matatizo mengine ya msingi na yenye mipaumbele zaidi ya hayo.
Zaidi je bajeti na mipango hii ilikuwepo na kuandaliwa kabla au ni mwendokasi ideas.
Dodoma kuahamia yenyewe ni mziki hakuna bajeti wala mipango ya kuanza mwaka huu haikuwepo...HIVI AWAMU HII YA TANO MNATUPELRKA WAPI WATANZANIA TUNAONUKA UMASIKINI WA KUPITILIZA,UJINGA USIYO NA KIFANI,NARADHI TENA MENGINE YA AJABU KABISAA,UFISADI USIYO NA KIFANI N.K.?????
HEBU ANAYE JUA TUKO WAPI,TUNAELEKEA WAPI NA NINI PLAN,MISSIONS,VISSIONS NA OBJECTIVES ZA AWAMU HII.
 
Mi nadhani mambo ya kupanga mji waanzie huko Dodoma.Kwa hii pupa ya kuhamia huko , mambo yataharibika muda si mrefu.Kuharibika kwa mipango miji ya maeneo kama Sinza,Mbezi beach,Boko ni matokeo ya watu kuwa na mahitaji ya kujenga na wakati idadi ya viwanja vya vilivyopimwa havitoshi.Kwa asiyejua mitaa ya mbezi beach kutokea bagamoyo road ilikuwa imenyooka mpaka baharini na mipana pia.
Serikali inapswa sasa kuanza mchakato wa kupanga upya jiji la dodoma na hii ianze dodoma mpaka Mpwapwa,Mvumi,chilonwa,Karibu na Bahi ,Msisi wkote kupangwe vizuri ili siku ya siku utakavyozidi kukua baasi mnahamia smoothly bila kusongamana.Waziri asisahau ring roads mbili mpaka tatu,Provisions za usafiri wa reli pamoja na vituo vyake vya kisasa mjini ziwekwe sasa ,nafasi za kutosha kwa ajili ya barabara mpaka leni nane,nk nimeona master plan ya dodoma sijaona haya
 
Pia consideration ya kuwa na parks na sehemu za mapumziko katikati ya jiji.sio nyumba kwa nyumba mpaka mji unakera.nimesahau lingine, mahitaji ya umeme , maji ,mashule ,hospitali ya taifa, kambi ya Majeshi manake huwezi kuwa na makao makuu ya nchi na hujawaza ulinzi unakuwaje....
 
Ati nini!? Dola milioni 300? Yaani hiyo ni bajeti ya kupiga picha za angani tu! Hizo si pesa za kujenga barabara hadi kishumundu? Sio bure,hapa napo kuna majipu.
 
Mnaobisha hamkusoma remote sensing hivyo vitu ni gharama sana na mkumbuke picha yenyewe ni mahsusi kwa ajili ya kupanga jiji hivyo vipimo ni mhimu sana
 
Naombeni hiyo tenda ya picha nipande juu ya mnazi niwape hiyo picha mnayotaka tena natumia iphone 5
 
Wakati wa Ruksa CCM ilifungua matawi mpaka visiwa vya Sicily humo Italia. JK yeye aliyatangaza kabisa. Lukuvi ni Mtume wa kikundi kinachojihusisha na mkondo wa hao na ndiyo waliomfanikishia Ubunge na Uwaziri baada ya kumtuma kulipa pesa kwa wavamizi wa barabara ambao genge halikutaka wajulikane ni wavamizi wabughudhiwe kwa sababu kulikuwa na familia ya MARAFIKI WA MARAFIKI
Baada ya hapo Lukuvi akaaminiwa kutangulizwa mbele ili hao MARAFIKI wawe na mtu wa kuwasemea huko juu. Kandarasi na malipo hewa ya IPTL pia yalisukwa na MARAFIKI. Mpango hewa huo wa bil.600 kuchora ramani kwa kampuni ya kiItaliano ni walewale wanaochota pesa kwa kazi hewa. IPTL amebakiza vitishio vya MWIZI na UTAISOMA NAMBA. Nyumba yao kuna KIGUNIA asiyeongea IPTL na sasa MPANGOJIJI. Akina Lugumi na Rugemarila ni watoto tu wanaocheza HAPO UPENUNI. Mkitaka kujua uongo mwondoeni Lukuvi aje mchapa kazi mtasikia hata harufu yenyewe inatokea wapi.
 
Hammjui Lukuvi. Wakati Waziriwa Ujenzi Jiohn Magufuli amekataza waliojenga ndaniya hifadhi ya barabara Kilwa Road Lukuvi akatoa pesa za Mkoa akaenda kuwalipa marafiki zake Kongowe. Akapanda ngazi kutoka ukuu wa mkoa hadi ubunge na uwaziri. Fadhiriķeni hizo mtakutana nazo katika hizi bil. 600/ zinazosemwa.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Wakati wa Ruksa CCM ilifungua matawi mpaka visiwa vya Sicily humo Italia. JK yeye aliyatangaza kabisa. Lukuvi ni Mtume wa kikundi kinachojihusisha na mkondo wa hao na ndiyo waliomfanikishia Ubunge na Uwaziri baada ya kumtuma kulipa pesa kwa wavamizi wa barabara ambao genge halikutaka wajulikane ni wavamizi wabughudhiwe kwa sababu kulikuwa na familia ya MARAFIKI WA MARAFIKI
Baada ya hapo Lukuvi akaaminiwa kutangulizwa mbele ili hao MARAFIKI wawe na mtu wa kuwasemea huko juu. Kandarasi na malipo hewa ya IPTL pia yalisukwa na MARAFIKI. Mpango hewa huo wa bil.600 kuchora ramani kwa kampuni ya kiItaliano ni walewale wanaochota pesa kwa kazi hewa. IPTL amebakiza vitishio vya MWIZI na UTAISOMA NAMBA. Nyumba yao kuna KIGUNIA asiyeongea IPTL na sasa MPANGOJIJI. Akina Lugumi na Rugemarila ni watoto tu wanaocheza HAPO UPENUNI. Mkitaka kujua uongo mwondoeni Lukuvi aje mchapa kazi mtasikia hata harufu yenyewe inatokea wapi.
 
Hivi kulifumua jiji la Dar ni kipaumbele cha ngapi vilee kwenye ilani yetu ya Chama chetu pendwa?Naomba swali hili nijibiwe na makada wenzangu wa CCM!
 
Back
Top Bottom