Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 6,920
- 7,536
Swali la msingi hayo majengo ya serikali unamuuzia nani wakati hao wenye majengo wanatafuta wakumuuzia kwani biashara zimebuma gafla mjini..Mfano zile twin towers za BOT unamuuzia nani...Hii awamu Muumba atusaidie lakini naona mkwamo mbaya sana huko mbeleni