Mpango wa Kujenga kiwanda Huru cha Silaha cha Israeli

Mpango wa Kujenga kiwanda Huru cha Silaha cha Israeli

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,224
Reaction score
6,283
Netanyahu Atangaza Mpango wa $110 Bilioni wa Kujenga kiwanda Huru cha Silaha cha Israeli

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ametangaza uwekezaji mkubwa wa shekeli bilioni 350 (takriban dola bilioni 110) katika muongo ujao ili kuendeleza sekta huru ya silaha za ndani.

"Niliidhinisha jumla ya shekeli bilioni 350 katika muongo ujao ili kujenga tasnia huru ya silaha kwa taifa la Israeli," alisema wakati wa hafla katika kambi ya jeshi la wanahewa. "Tunataka kupunguza utegemezi wetu kwa upande wowote, hata kwa marafiki. Watu wenye akili timamu katika sekta zetu za ulinzi wana kazi ngumu kutengeneza mifumo ya silaha ambayo itahakikisha manufaa ya Israeli katika uwanja wa vita wa siku zijazo."
 

Attachments

  • IMG_4430.jpeg
    IMG_4430.jpeg
    86.3 KB · Views: 7
Mbona hujasema wanapewa hela na mabwana zake Marekani. Yaani taifa teule badala liwekeze kwenye injili au huduma za kijamii linawekeza kwenye silaha za kuua watu!!

Sasa wakishinda vita si itakua sababu ni silaha na sio uteule wao!!?
 
Yale mataifa yanayojiita ya kidini nenda uangalie bajeti zao za ulinzi na fedha wanazotumia kununulia silaha kisha urudi uandike tena.
 
Mbona hujasema wanapewa hela na mabwana zake Marekani. Yaani taifa teule badala liwekeze kwenye injili au huduma za kijamii linawekeza kwenye silaha za kuua watu!!

Sasa wakishinda vita si itakua sababu ni silaha na sio uteule wao!!?
Umekosa hoja unabwabwJa ovyo tu yaani wewe Pimbi uipangie Israel cha kufanya ni ujinga na Upumbavu kabisa!!
 
Umekosa hoja unabwabwJa ovyo tu yaani wewe Pimbi uipangie Israel cha kufanya ni ujinga na Upumbavu kabisa!!
Hoja ipo ndio maana umeshindwa kujibu. Twende taratibu
1. Israel ni taifa teule
2. Maana yake linasaidiwa na Mungu dhidi ya maadui zake.
3. Hata kwenye biblia walikua wanapigana pungufu, silaha chache, ujuzi mdogo ila walishinda sababu ya Mungu.
4. Kutengeneza masilaha ya maangamizi ili kushinda vita hauoni inakinzana na uteule wake?
5. Yaani wakishinda vita utukufu utakua kwa Mungu au SILAHA zao?

cc MK254 Mlaleo
 
Hoja ipo ndio maana umeshindwa kujibu. Twende taratibu
1. Israel ni taifa teule
2. Maana yake linasaidiwa na Mungu dhidi ya maadui zake.
3. Hata kwenye biblia walikua wanapigana pungufu, silaha chache, ujuzi mdogo ila walishinda sababu ya Mungu.
4. Kutengeneza masilaha ya maangamizi ili kushinda vita hauoni inakinzana na uteule wake?
5. Yaani wakishinda vita utukufu utakua kwa Mungu au SILAHA zao?

cc MK254 Mlaleo
Mbona nyie mna Mwamposa ila mnanunua silaha
 
Umekosa hoja unabwabwJa ovyo tu yaani wewe Pimbi uipangie Israel cha kufanya ni ujinga na Upumbavu kabisa!!
Lakini pia Israel kama taifa teule ilibidi liongoze kiroho.
1. Je kwanini haliwekezi kwenye kujenga amani ya dunia? Yaani diplomasia badala ya mabomu?
2. Je kwanini halisambazi injili, lisaidie watu kumjua huyo mungu wao?
3. Kwanini halitatui shida za kimataifa kama njaa, magonjwa n.k hata kipindi cha covid hawakusaidia yoyote?

Uteule wake ni kwenye kuchinja watu tu?
 
Lakini pia Israel kama taifa teule ilibidi liongoze kiroho.
1. Je kwanini haliwekezi kwenye kujenga amani ya dunia? Yaani diplomasia badala ya mabomu?
2. Je kwanini halisambazi injili, lisaidie watu kumjua huyo mungu wao?
3. Kwanini halitatui shida za kimataifa kama njaa, magonjwa n.k hata kipindi cha covid hawakusaidia yoyote?

Uteule wake ni kwenye kuchinja watu tu?
Maswali ya kijinga kabisa nimekuambia huwezi kuipangia nchi yoyote nini ifanye!! Wewe uko Tanzania huwezi kuipangia nchi nini cha kufanya kila nchi Ina vipaumbele vyake!!!

Ulivyo mjinga na mpumbavu unataka kuipangia Israel ijikite kwenye Injili wakati inakabiliwa na janga la magaidi wanayoizunguka nchi hiyo. Ni wajinga tu na wapumbavu Kama wewe ndiyo wanaweza kufuatia UHARO wako huo!!!
 
Hoja ipo ndio maana umeshindwa kujibu. Twende taratibu
1. Israel ni taifa teule
2. Maana yake linasaidiwa na Mungu dhidi ya maadui zake.
3. Hata kwenye biblia walikua wanapigana pungufu, silaha chache, ujuzi mdogo ila walishinda sababu ya Mungu.
4. Kutengeneza masilaha ya maangamizi ili kushinda vita hauoni inakinzana na uteule wake?
5. Yaani wakishinda vita utukufu utakua kwa Mungu au SILAHA zao?

cc MK254 Mlaleo

Ujio wa Yesu uliondoa huo hitaji wa hayo mavita vita, Yesu alihubiri amani kwamba tumpende jirani kama tujipendavyo, tatizo mohammad wenu akaja na dini yake miaka 600 akaanzisha mavita vita kote na kuanza kuwinda Wayahudi, mumedumisha huo uchafu hadi leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom