Mpango wa Greater Israel bado huu hai Netanyahu athibitisha

Mpango wa Greater Israel bado huu hai Netanyahu athibitisha

Kama uliweza sema "hakuna mkristo yeyote asiyeiunga mkono israel"

Mimi sina la zaidi la kukwambia zaidi ya --- " fungua macho mkuu"
Hiyo inaonyesha wazi hakuna!!
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Hiyo inaonyesha wazi hakuna!!
Sasa kama hata kufungua macho hutaki --- unataka nikupe miujiza ?🤣🤣🤣 kwa bahati mbaya mimi na miujiza ni mbali na mbali mkuu.

Muda utaongea 😁
 
Sasa kama hata kufungua macho hutaki --- unataka nikupe miujiza ?🤣🤣🤣 kwa bahati mbaya mimi na miujiza ni mbali na mbali mkuu.

Muda utaongea 😁
Utasubiri sana!!
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Mwambieni ana ota ndoto asifikirie viongozi wa kiarabu ni sawa sawa na wananchi ikiwa Gaza leo miaka miwili na hakuna alicho fanikiwa.

Kitu gani kafanikiwa ?

Zaidi yakuwauwa watoto na wanawake na kuzuia chakula pamoja na kuvunja majumba, hospital, mashule n.k. Hio greater Israel ni kama ile ndoto yenu ya Wakristo na Wayahudi kwenye pepo.

Hapo Qur'an ilisha sema mnaota hiyo ndoto ya kwenda peponi Wayahudi na Wakristo.


وَقَالُوا۟ لَن يَدْخُلَ ٱلْجَنَّةَ إِلَّا مَن كَانَ هُودًا أَوْ نَصَـٰرَىٰ ۗ تِلْكَ أَمَانِيُّهُمْ ۗ قُلْ هَاتُوا۟ بُرْهَـٰنَكُمْ إِن كُنتُمْ صَـٰدِقِينَ ١١١

The Jews and Christians each claim that none will enter Paradise except those of their own faith. These are their desires. Reply, ˹O Prophet,˺ “Show ˹me˺ your proof if what you say is true.”
Waarabu hawa hawa ambao hawajafanya lolote kuwasaidia Gaza?
Quran imesema hayo kwa sababu mwamedi aliwachukia sana mayahudi na wakristo ambao walicheka sana walipokuwa wanasikia hekaya zake.
Imagine mtu mmeshinda naye mchana kutwa halafu mnaagana kwenda kulala kesho yake anakwambia alienda Al Aqsa na mbinguni!
Kiujumla mayahudi na wakristo walimuona mwamedi na hekaya zake kama tunavyomuina Zumaridi!
 
Ni mtu asieijua bible kiundani atasema habari ya greater Israel... Israel kumebaki kabila moja Tu la yuda...Makabila mengine 11 yalishapotea na yalipotea na nafasi na ardhi na urithi wao wote...Bila ya kusahau mji WA Jerusalem ulikuwa urithi WA Efraim na Yuda... lakini alieachwa kuutunza ni kabila moja la Yuda...Yuda ndie aliebakiwa na Jina la Israel...
 
Back
Top Bottom