Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 16,340
- 13,135
Unataka Jordan afanye nini? unajua tawala ya Ottoman? eneo lote hilo la Middle east lilikuwa chini yake hamna mipaka, hadi Uingereza akawa anashawishi tribe za kiarabu zianzishe chokochoko akizisaidia silaha n.k Ottoman akasepeshwa makabila ya kiarabu yakwa yanajimegea ardhi tu, so uzushi sijui Saudia,Jordan n,k hawana chao wanasehemu zao zinajulikana kabisa za kikabila. Kazi ikianza wanaachwa waendelee na tawala zao tu hamna Shida ila watulie tu hamna haja ya ugomvi, Maandiko lazima yatimie na uzuri wao wenyewe wanaelewa hilo.Hivi inajulikana tangia zamani na nilishaandika humu kitambo ,ila kuna mashoga waliokunywa maji ya bendera ya Kizayuni hawakuelewa , wakaendelea kupinga . Huyu mshenzi netanyahu na genge lake ni wanataka kutimiza hilo na actually greater Israel ni kukamata na kutawala middle east mpaka baadhi ya maeneo ya Saudia Arabia . Sasa huwa nashangaa hawa mashoga akina Jordan ,Saudia na mbwa wengine wanavyo msupport Kibaka Netanyahu na genge lake la wauaji , Gaza ni mwanzo tu
Kwani Nyie hamtaki mwisho wa Dunia ufike? mnaona raha sana Kuishi? au mnaogopa Moto enh hahahaha Let it be write let it be done