Tatizo ni utapindua meza mara ngapi? Yani dunia hii kuumizwa kupo tu. Utajihusisha na huyo chotara, atakuacha kisha utataka kumwonyeshea tena nk. Hakuna sababu ya kuonyesheana na mtu. Demu alikuwa anajionyesha na workmate wake, na ww ukaamua kumwonyeshea. Alikuingiza mkenge, na ww ukazama. Ukaingia gharama nk. Furaha uliyoipata ni ya muda mfupi. Pambana upate amani ya ukweli. Kama ni $$$, basi pambana uwe nazo. Kama ni familia, pambana uwe nayo. Hayo ya kupindua meza wala hayana mantiki. Hapo hata huyo mwanamke atakuheshima heshima unayistahili. Na sio heshima ya ku-show off.