mkataba unasema:awe amenilipa pesa ya miezi 6, na kama mpangaji atataka kuendelea anilipe pesa ya miezi 6 ijayo. Lakini hakufanya hivyo
mkataba unasema:awe amenilipa pesa ya miezi 6, na kama mpangaji atataka kuendelea anilipe pesa ya miezi 6 ijayo. Lakini hakufanya hivyo
hello g.t,
Huu ni mwezi wa tano sasa umepita, mpangaji wangu hataki kunilipa,nimempa notice, lakini bado anaendelea kukaa,nimejaribu kufatilia sheria inasemaje, kuna watu wameniambia niende mahakamani, kuna wengine wameniambia sitakiwi kwenda mahakamani, naweza kumtoa kwa nguvu, au kutumia madalali tu. msaada wenu wana jf, kama kuna watu wana jibu sahihi watuelimishe
ok...mkataba unasema mpangaji akipewa notice awe amenikabidhi funguo na kuhama, lakini hakufanya hivyo
nilimpa notice ya mwezi mmoja, na umeshapita
Hapa sina cha kukushauri,sababu mimi mwenyewe nilimfanyia mwenye nyumba wangu hivyo hivyo,nilipoamua kuondoka nikafungia vitu vyangu ndani ya nyumba yake miezi miwli ndio nikavifuata!!hello g.t,
Huu ni mwezi wa tano sasa umepita, mpangaji wangu hataki kunilipa,nimempa notice, lakini bado anaendelea kukaa,nimejaribu kufatilia sheria inasemaje, kuna watu wameniambia niende mahakamani, kuna wengine wameniambia sitakiwi kwenda mahakamani, naweza kumtoa kwa nguvu, au kutumia madalali tu. msaada wenu wana jf, kama kuna watu wana jibu sahihi watuelimishe
Labda kwa kuanzia nenda kwenye ofisi ya mtendaji uulizie jinsi gani unaweza kutatua tatizo hilo....! Nakumbuka notisi huwa ni miezi mitatu na mhusika kama akijitetea vizuri muda wote huo atakaa bure. Nilishawahi kushuhudia incidence kama hiyo long time uswazi.....! Ni vizuri ukatumia busara za viongozi wa serikali ya mtaaa na kata, ukienda mahakamani ni kupoteza muda tu......!
Hapa sina cha kukushauri,sababu mimi mwenyewe nilimfanyia mwenye nyumba wangu hivyo hivyo,nilipoamua kuondoka nikafungia vitu vyangu ndani ya nyumba yake miezi miwli ndio nikavifuata!!
ahahaha...sasa mzee naona unahitaji kujua sheria..
kuna sheria mpya ambayo inatumika sikuhizi..mpangaji ni mtu anayeingia mkataba wa kukaa kwenye nyumba kwa malipo na muda unaofahamika...sheria sikuhizi inatambua nyumba kama biashara na ndio maana wapangaji wa NHC walipandishiwa kodi na kutolewa kwenye nyumba walizoshindwa kulipa kodi...mkataba unapoisha sikuhizi hakuna notice..naona umekuwa mstaarabu sana kwa kutumia mkataba wa miaka mi-3 nyuma wakati huo magufuli akiwa waziri wa nyumba na makazi...
HITIMISHO....mtoe huyo mpangaji wako kwa nguvu na mpeleke mahakamani kwa kukaa kwenye nyumba yako bila kulipia kodi kwa kipindi chote mkataba ulipoisha ,...na unaweza pia kuzuia vyombo vyake mpaka atapolipa kodi...na hutakiwi tena kutoa notice za kizamani za mieziu mi3...mkataba ni mkataba kama mingine habari za notice zilikuwa za kijima enzi za nyerere...sahivi sie mabepari....mpige nje then yeye ndio aende polisi na mahakamani kushtaki