Mpangaji mwenzangu ananiroga!

Mpangaji mwenzangu ananiroga!

Habari za asbh wana JF,

Napenda kuwaambia kuwa kuishi na mpangaji mwenzio alafu anakuonea wivu wa kimaendeleo ni shidaaa. Wiki 2 mbili sasa kichwa hakiachi kuuma, nimekwenda Hospital mara kadhaa bt sikupata nafuu ndipo nilipoona nijaribu kwa Sanonga(mganga wa kienyeji) ndipo aliponieleza kuwa mpangaji mwenzako anakuroga coz mimi nafanikiwa na mambo yangu.

Sasa je nimfanye nini huyu mpangaji mwenzangu? Au na mimi nimmalize kabisa?
Umejuaje kwamba unalogwa na jirani yako ndo mlozi wako? Wawezakuta mawazo yako kichwani ndo yanafanya kichwa kiume!!
 
Habari za asbh wana JF,

Napenda kuwaambia kuwa kuishi na mpangaji mwenzio alafu anakuonea wivu wa kimaendeleo ni shidaaa. Wiki 2 mbili sasa kichwa hakiachi kuuma, nimekwenda Hospital mara kadhaa bt sikupata nafuu ndipo nilipoona nijaribu kwa Sanonga(mganga wa kienyeji) ndipo aliponieleza kuwa mpangaji mwenzako anakuroga coz mimi nafanikiwa na mambo yangu.

Sasa je nimfanye nini huyu mpangaji mwenzangu? Au na mimi nimmalize kabisa?
Ukimtumainia mungu utaogopwa na kila kitu,bali usipomtumainia mungu utaogopa kila kitu.
 
Hospital wamekuambia tatizo ni nini kuhusu hicho kichwa kutopona??
 
Hospital wamekuambia tatizo ni nini kuhusu hicho kichwa kutopona??
Wameniambia kuwa sina Malaria pia sina ugonjwa wowote ambao umeoneka na cna matatizo ya macho ambayo pia yaweza kachangia maumivu ya kichwa.
 
Habari za asbh wana JF,

Napenda kuwaambia kuwa kuishi na mpangaji mwenzio alafu anakuonea wivu wa kimaendeleo ni shidaaa. Wiki 2 mbili sasa kichwa hakiachi kuuma, nimekwenda Hospital mara kadhaa bt sikupata nafuu ndipo nilipoona nijaribu kwa Sanonga(mganga wa kienyeji) ndipo aliponieleza kuwa mpangaji mwenzako anakuroga coz mimi nafanikiwa na mambo yangu.

Sasa je nimfanye nini huyu mpangaji mwenzangu? Au na mimi nimmalize kabisa?
****
huyo anayekuroga ni nduguyo ndugu wa mama yako Maji ya kunde mrefu kiasi mtaratibu NA mpole kiasi /
 
Hii topiki ni ya kijinga kabisa. Mambo gani mnatuletea hapa JF?? Ujinga mtupu.
 
Yawezekana humwamini Mungu. Wamwaminio Mungu hawapati mambo kama haya.
 
unauhakika mkeo alimuona anaweka dawa? pengine mkeo ndiyo mchawi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom