Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 13,625
- 29,891
Mtakula watoto?
Singida njaa sana huko
Njaa unayo wewe au utakuwa nayo wewe. Mimi sitokuwa na njaa. Na Singida watu wengi tu wameishi na wanaishi. Sijasikia janga la njaa
Mtakula watoto?
Singida njaa sana huko
Akimaliza KUTOA sababu wewe ZIGAWANYE ...Toa sababu
Najibishana na mtoto kumbeNjaa unayo wewe au utakuwa nayo wewe. Mimi sitokuwa na njaa. Na Singida watu wengi tu wameishi na wanaishi. Sijasikia janga la njaa
Najibishana na binti yangu kumbeNajibishana na mtoto kumbe
Hongera sana mkuu kwa kupata kazi.Kuna jamaa yangu kapata kazi kwenye private coy flani,kaambiwa achague kati ya Singida au Mpanda wapi anataka awe reallocated. Binafsi nimeishi singida ila mpanda sipajui coz sijawahi kufika.
Ungekua wewe ungemshauri huyu jamaa aende wapi kati ya Singida na Mpanda?