Hapana mkuu! Ukilipa kisasi haimpi mtu kujitofautisha na waoKulipa kisasa ni haki
Hapana mkuu! Ukilipa kisasi haimpi mtu kujitofautisha na waoKulipa kisasa ni haki
Unaongelea nini mkuu mbona kama hauna akili timamu, au umelewaHuyo Lissu mpuuzi. Angeanza na Samia ambaye kashika nafasi ya juu kabisa. Asiwasumbue hao dagaa wakati anapishana na papa. Pengine hao anaowasema ndio wamemshauri papa mkuu afanye maridhiano.
Ina maana Lissu amesahau kauli ya mama Samia aliposema waliompiga sio askari wetu, askari wetu hawakosei.
Chadema mnaropoka mno. Mara Byakanwa.
Ukweli ni kama Pembe la ng'ombe , haufichikiMh Tundu lisu fanyeni siasa safi zama zimebadilika sana hii mambo yakutaja majina italitesa Taifa bila sababu.
Hakika tunakuja na uzi mwingine kuhusu wasiojulikanaUnadhani hayo tu ndio aliyoongea kwenye huo mkutano? Hiki ulichopewa hapa ni sehemu ndogo tu ya alichoongea.
Ni kweli walimtuma. Sasa maigizo ya maridhiano ni usanii tu.😁😁😁😁may be alitumwa na hao waliomteua.
Kosa la Lissu hapo ni nini?Ni kweli walimtuma. Sasa maigizo ya maridhiano ni usanii tu.
Chuki zako tu au kwa kuwa anavunja legasi yenu?Lisu ana bwabwaja.
Muache lisu aendelee na misimo yake wewe endelea na misimamo yake. Kama nakumbuka vizuri uliandika gazeti hapa kwamba watu wasiwalazimishe watu wote kumuina lisu shujaa. Sasa unahamanika nn hata asiposamehe?Hapana mkuu! Ukilipa kisasi haimpi mtu kujitofautisha na wao
Mwambie akalipize ikiwa yeye anaona atakuwa salama tuu! Kulipiza hakujawahi kuwa Amani mkuuMuache lisu aendelee na misimo yake wewe endelea na misimamo yake. Kama nakumbuka vizuri uliandika gazeti hapa kwamba watu wasiwalazimishe watu wote kumuina lisu shujaa. Sasa unahamanika nn hata asiposamehe?
Tunaomuunga mkono lisu tunafanya hivyo kwakuwa tunajua misimamo yake kwa taifa letu. Hajawahi kuyumbishwa na mpuuzi yeyote. Tulimfahamu LISU tangu mnayemuita shujaa akishangilia huku madini yetu yakiuzwa na kina mkapa naye akiwa naibu na baadae waziri? Ulishawahi msikia Magufuli akipinnga bungeni.
Soma kwanza kitabu cha wahariri
Kwa sababu hajaumizwa ndugu yake au mtu wa karibu anaona sawa.Mnapenda sana unafiki nchi hii
Wewe acha kupangia watu vya kufanya. Mbona hujawahi kulaumu hata wale waliokataza asiombewe wala kuchangiwa damu akiwa mahututi? Kunya anye kuku akinya bata kaharisha?Mwambie akalipize ikiwa yeye anaona atakuwa salama tuu! Kulipiza hakujawahi kuwa Amani mkuu
Sawa mkuu! Kila la kheriWewe acha kupangia watu vya kufanya. Mbona hujawahi kulaumu hata wale waliokataza asiombewe wala kuchangiwa damu akiwa mahututi? Kunya anye kuku akinya bata kaharisha?
Sawa tu nchi ya kwetu sote hii. Hakuna mwenye haki zaidi ya mwingine.Sawa mkuu! Kila la kheri
AmenNafurahia Elimu ya huyu mwamba kwa wananchi. Lugha rahsi kabisa material ya kutosha
Hawatoki ng'oo ukitaka nunaWajitoe kwenye .maridhiano kama kweli wako serious
Elimu imeshiba.....vilaza tu waliojaza ugali kichwani ndio watapingaNafurahia Elimu ya huyu mwamba kwa wananchi. Lugha rahsi kabisa material ya kutosha