Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 10,912
- 18,353
Kama ni siasa mbaya na bado ana wafuasi wengi kiasi kile basi hizo siasa zake zinafaaKama Lisu bado ana siasa za namna hii anafeli pakubwa sana,hizi siasa za lawama zimepitwa na wakati ,aseme atafanya nini tofauti na CCM ikiwa atakamata dola,aache porojo