lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Mpaka Sasa hivi kuna haja ya kuwa na mfumo wa vyama nyingi vya siasa?
Nafikiri huu ni wakati watanzania tuchague mfumo wa kifalme,au mfumo kama ule wa China,au mfumo kama ule wa Korea ya Kaskazini la sivyo wenye maoni tofauti na Serikali kwa tafsiri ya sasa ya neno uchochezi baadhi ya watanzania wataishia magezezani,kwa mujibu wa sheria ya uchochezi.
Pili lawama nyingi za utawala huu kwa wapinzani wanasema waziwazi kuwa kazi ya wapinzani ni kupinga maendeleo,tena wameenda mbali zaidi wanasema wafugwe jela,wapotezwe na kadhalika,kwa maneno na tafsiri kama hizi kwanini tusiige mfumo kama wa China ili tusifungane kwa makosa ya uchochezi?
Au inawezekana mwl,nyerere aliumiwe kwa kutuletea vyama nyingi vilivyokuja kutucheleweshea maendeleo? Tumlamu nani aliyeleta mfumo huu ambao kwa sasa unaonekana kama unakwamisha maendeleo?
Mwinyi,mkapa,Kikwete au Mwl Nyerere?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri huu ni wakati watanzania tuchague mfumo wa kifalme,au mfumo kama ule wa China,au mfumo kama ule wa Korea ya Kaskazini la sivyo wenye maoni tofauti na Serikali kwa tafsiri ya sasa ya neno uchochezi baadhi ya watanzania wataishia magezezani,kwa mujibu wa sheria ya uchochezi.
Pili lawama nyingi za utawala huu kwa wapinzani wanasema waziwazi kuwa kazi ya wapinzani ni kupinga maendeleo,tena wameenda mbali zaidi wanasema wafugwe jela,wapotezwe na kadhalika,kwa maneno na tafsiri kama hizi kwanini tusiige mfumo kama wa China ili tusifungane kwa makosa ya uchochezi?
Au inawezekana mwl,nyerere aliumiwe kwa kutuletea vyama nyingi vilivyokuja kutucheleweshea maendeleo? Tumlamu nani aliyeleta mfumo huu ambao kwa sasa unaonekana kama unakwamisha maendeleo?
Mwinyi,mkapa,Kikwete au Mwl Nyerere?
Sent using Jamii Forums mobile app