Mpaka lini Kariakoo, Gerezani pataendelea kukabiliwa na mafuriko?

masai dada

JF-Expert Member
Dec 29, 2013
15,737
12,622
Hichi kipande kimekuwa changamoto kila mvua inavyonyesha miksa machemba kufumuka kinyesi maji ni usawa wa nyonga.

Jamaniii leo nimeshuhudia sononeko kubwa sana. Mtaa wa vifungashio ule nyuma ya pemba ni balaa mpaka vifuniko vya chemba vinaelea.

Kariakoo ni mkoa wa kikodi kwanini miundombinu ya majo taka ni mbovu kiasi hivi? Hizo kodi TRA na Serikali mnapeleka wapi ikiwa Kariakoo inanuka kinyesi?
 
Sio tu hapo, sehemu kubwa ya miundombinu ya jiji zima la Dar es Salaam haina uwezo wa kukabiliana na mvua nyingi.
 
Hichi kipande kimekuwa changamoto kila mvua inavyonyesha mixa machemba kufumuka kinyesi maji ni usawa wa nyonga
Jamaniii leo nimeshuhdia...
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema
 
Kama tu aliyejuu hakuna anachokifanya ulitegemea hao Wapuuzi wa hapo Kariakoo Sokoni nao wawe na jipya pia Mkuu?
Ni kero ni kero kuliko kero ilivyo yaani kuna maduka kama 7 mtaa wa livingtone nafikiri nyuma ya pemba kamtaa kote pale maji usawa wa kiuno dah
 
Hichi kipande kimekuwa changamoto kila mvua inavyonyesha miksa machemba kufumuka kinyesi maji ni usawa wa nyonga.

Jamaniii leo nimeshuhudia sononeko kubwa sana. Mtaa wa vifungashio ule nyuma ya pemba ni balaa mpaka vifuniko vya chemba vinaelea.

Kariakoo ni mkoa wa kikodi kwanini miundombinu ya majo taka ni mbovu kiasi hivi? Hizo kodi TRA na Serikali mnapeleka wapi ikiwa Kariakoo inanuka kinyesi?
Mpaka kiama
 
Kila msimu wa mvua mambo haya hujitokeza kwa makali yanayotofautiana jijini Dar - lakini mimi sioni hatua za maana zinazochukuliwa kupunguza au kumaliza shida hii!!
 
Kila msimu wa mvua mambo haya hujitokeza kwa makali yanayotofautiana jijini Dar - lakini mimi sioni hatua za maana zinazochukuliwa kupunguza au kumaliza shida hii!!
Swala la miundombinu kariakoo kuanzia hao madiwani mpaka wa juu wamelipa mgongo
 
Kila msimu wa mvua mambo haya hujitokeza kwa makali yanayotofautiana jijini Dar - lakini mimi sioni hatua za maana zinazochukuliwa kupunguza au kumaliza shida hii!!
Muulize mzee mudy side,ye kwao huko tuko nae humu na faizafoxy.
 
Hichi kipande kimekuwa changamoto kila mvua inavyonyesha miksa machemba kufumuka kinyesi maji ni usawa wa nyonga.

Jamaniii leo nimeshuhudia sononeko kubwa sana. Mtaa wa vifungashio ule nyuma ya pemba ni balaa mpaka vifuniko vya chemba vinaelea.

Kariakoo ni mkoa wa kikodi kwanini miundombinu ya majo taka ni mbovu kiasi hivi? Hizo kodi TRA na Serikali mnapeleka wapi ikiwa Kariakoo inanuka kinyesi?
wakikujibu uniite mbwa nimekaa pale , kama kuuutwaaaa kusifia sijui mama kafanya ninj sijui mama kaleta mvua unadhani kuna mwenye akili hapo? TRUMP aliwahi kusema waaafrika ni lazima tutawaliwe upya ili akili zituirudie
 
Back
Top Bottom