kiukweli hayo majimbo kwenda upinzani ni %0.0000001
wameshachakachua vya kutosha na JK watakuwa wamempa kura nyingi bila soni huku wakisahau kuwa watanzania sio mawe ambayo yapo tu hata ukiligonga haliongei,wanatudharau sana ,wanatuona ss ni watoto wadogo,wanacheza na mind zetu wanafikiri kuwa sisi ni ile product yao ya shule za kata .