Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Wanajamii,
Pamoja na kudhulumiwa viti vyetu vingi vya uwakilishi wa kweli wa wananchi (CHADEMA) bado mpaka sasa kuna matokeo ya viti 64 ambayo hayajajulikana. Vipi katika hayo majimbo yaliobakia nguvu yetu (CHADEMA) ya kushinda bado ipo? au bado CCM wanaendelea na uchakachuzi? :thinking::deadhorse: Manake naona hawa jamaa wanatufanya kama kondoo vile sasa...!
Washindi mbalimbali wa uwakilishi Serikalini 2010-2015 -
Pamoja na kudhulumiwa viti vyetu vingi vya uwakilishi wa kweli wa wananchi (CHADEMA) bado mpaka sasa kuna matokeo ya viti 64 ambayo hayajajulikana. Vipi katika hayo majimbo yaliobakia nguvu yetu (CHADEMA) ya kushinda bado ipo? au bado CCM wanaendelea na uchakachuzi? :thinking::deadhorse: Manake naona hawa jamaa wanatufanya kama kondoo vile sasa...!
Washindi mbalimbali wa uwakilishi Serikalini 2010-2015 -