Mpaka aliyetoa amri watu wasiokuwa na hatia wakauliwa akikiri hadharani kuwa alifanya kosa ili kutetea urais wake ndio watanzania watakaa kimya

Mpaka aliyetoa amri watu wasiokuwa na hatia wakauliwa akikiri hadharani kuwa alifanya kosa ili kutetea urais wake ndio watanzania watakaa kimya

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,773
Reaction score
5,931
Mwabukusi sijakuelewa. Unataka viongozi wasiongelee yaliyotokea Oktoba 29?

Au ninyi mumeelewa vipi?

Kutoneshana kunatoka wapi?

Watu wameuliwa majumbani kwao sababu tu watu wasalie madarakani.
 
Back
Top Bottom