Kwanza nikijiangalia mimi kama Kipipi huwa niko tayari kupokea dharau, masimango na matokeo yoyote hasa kwenye mambo serious kama haya, mradi tu niwe free na nisibaki na kiporo cha kunikondesha nafsi yangu! Well, sitakuwa na haja ya kuogopa saana.....na as long as kaitisha kikao nadhani kazi yangu itakuwa ni kusema kila kitu mengine wataamua wenyewe.
Dah mwanamke hakuw na lolote la kufanya xo aliladhmika kufanya hvo kwa sabab alimpenda kiukwel mmewe bt mwanaume ndo ana makoxa kwan ndiye mxababishaj!
Dah mwanamke hakuw na lolote la kufanya xo aliladhmika kufanya hvo kwa sabab alimpenda kiukwel mmewe bt mwanaume ndo ana makoxa kwan ndiye mxababishaj!
wimbo unaitwa DUNIA HAINA HURUMA sang by Bahati bukuku move yake inakuja soon na video masupastaa wa ukwel hapa bongo watashirik so keep waiting if u a interesting!
wimbo unaitwa DUNIA HAINA HURUMA sang by Bahati bukuku move yake inakuja soon na video masupastaa wa ukwel hapa bongo watashirik so keep waiting if u a interesting!
Sure, unaweza kufanya jambo kwa good intentions tena ukisacrifice many things na kurisk maisha, just to help the one you love. Lakini mambo yakiwa mazuri, ukifanya kosa dogo tu, hupewi hata nafasi ya kujieleza na unaweza kujuta. kwanini ulifanya uliyoyafanya.