Rafiki,Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Bora liwe turubai tuh kwao au kwetuRafiki,
Tafuta njia nyingine mbadala. Njia hiyo huleta majuto kwa pande zote mbili. Tafakari akiamua kutumia njia hiyo hiyo kukurudishia mashambulizi hakika hamtapata nafuu ya uchumi, afya na roho.
Mungu akusaidie kuitafuta njia sahihi. Nenda kwao kwa wazazi wake. Waeleze ndugu zake wote muone nini mnafanya kumbuka kuchukua RB.
sina mda huo tena wa kupoteza Hela nyingineSasa familia zao zinamakosa gani ??
Tengeneza kiji'mtego na matapeli (Text Message, au Voice Call) aoneshe kukili hilo then tafuta Askari au Maaskari Kupitia mtu wako mwingine(aku'connect) onesha hcho kitu pata RB suala linaisha namna hio..
pls usimtafute askari on your way utapigwa tena.
Uchawi mkubwa kuliko wote ni kujifungia chumbani na kusali kwanza kumsamehe na kumuombea toba. Muombee toba kila siku hadi upate amani kabisa. Ukifanya hivi siku moja utakuja na ushuhuda humu wa ajabu!Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Huko Kwa mganga ni bure ???sina mda huo tena wa kupoteza Hela nyingine
Samehe saba mara sabini. Mkuu binadamu ndio walivyo.Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Million nne ni parefu aisehhh, ukipata mganga mzuri waroge tu na unipenyezee jina la huyo mganga..na mimi kuna watu wananichezea..Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Bado unahamu ya kuendelea kutapeliwa.Habar wakuu
Kila nikikaa roho yangu inaniuma sana rafiki yangu niliemuamini yeye na rafkiake wamenitapeli ml. 4 cash
Ametumia urafiki wake Kwangu kuniumiza na hatukuandikishia popote na sina Cha kufanya ila nimekuja hapa naomba mtu yoyote anayemfahamu mganga yoyote anayeweza kazi ya kuangamiza aje PM nahitaji kuwaangamiza wao na familia Yao yote moyo wangu utulie
Asanteni.
Habar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni
Wewe kuna wataalam waliobobea tena kwa pesa ndogo kabisa na Matokeo ni ndani ya muda mfupi. Km ipo siku ataleta hapa mrejesho.Nenda kapigwe zaidi kwa hao waganga. Matapeli wakubwa zaidi ni waganga wa kienyeji.
Jifanye umesamehe huku ukimlia timing. Akijitusua unampiga tukio na wewe.
Na kama unajimudu ki mkono kazipange nae umchape na kila ukikutana unamdunda tu mpaka akili imkae sawa.
Ila kama ndio mwenzangu na mimi mbavu nje shukuru Mungu, ingia ndani lia mpaka kamasi likutoke, labda machungu yatapungua.
Ok.Wewe kuna wataalam waliobobea tena kwa pesa ndogo kabisa na Matokeo ni ndani ya muda mfupi. Km ipo siku ataleta hapa mrejesho.
@Mshana Jr kuna deal hukuHabar wakuu Mimi sijaja hapa kuomba ushauli nimekuja hapa kuomba nilichoomba mwenye uwezo wa kunisaidia afanye hivo asanteni