Yeah datz all mkuuu.. Ni nature ya wanawake kuwajaribu wanaume wao,, yaaan hiiiii walizaliwa nayo ivo ivo ,, sasa hiii tabia wengine wanaikuza sanaa kufikia hatua ya * one word answer* .
Yote kwa yote huwa wanajaribu ili Kupima uanamme WAKO ,,akikufanyia ujinga utamfanya nn ???? Weee nimwanamme wakumrekebisha au ?????? Weee nimwanamme usopenda ujinga au ????/
Sasa akikukuta ndugu yangu weee unaupole ule ulopitiliza kwakudhan ndo atakupenda ,,jua kwamba atakuzengua mpaka utataman ujiueee.
Ktk mahusiano ,, ujue mapenzi nisafar inayoanzia pasipokujulikana nainaishia pasipokujulikana ..
Sasa katka hii safar,, MWANAMME NILAZIMA UWE MWANAMME KWELI KWELI ,,YAAAN USIJISHUSHE KWAKE TONTJE EXTENT YEYE KUKUONA AKIKUACHA HUEZI PATA MWINGINE NAKWAMBA UTAUMIA SANA ,, .. MPENDE LKN UKIMUONYESHA MAZINGIRA HAYA .
*Yes sweetheart I love soo much and you are the only one in my heart BUT hiii haimanishi naweza kuvumilia ujinga na dharau natabia mbaya utakazoonyesha ,nakwamba ,, kama utakua izi mambo Basi nitashika njia yangu *.
Aiseee utayafurahia maisha.JIAMIN ,JIKUBALI ,AMINI KUA NJE YAKE KUNA LUNDO LAWANAWAKE LINAKUSUBIRI LINASUBIRIA NAFASI .