Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,739
- 5,978
Unasubiri mapenz ya dhati kwa karne hii!... Labda uachane na vigezo unavyotembea navyo ....
Awe msomi wa degree 2
Awe mrefu mweupe
Awe anatoka familia inayojiweza
Awe wa miaka 20 hadi 25
Awe bikra.....
Lakini mna sahau kutafuta mwenye mapenzi ya dhati,...
Sasa unajiuliza,! Mke akiwa na sifa zote hizo ndio anayefaa hata asipokua na mapenz ya dhati?
Mwishowe mkikaa miezi mitatu mnaanza kubadilika tena, mnataka mapenzi ya dhati, mweee!... Msitarajie kupata hilo!
Awe msomi wa degree 2
Awe mrefu mweupe
Awe anatoka familia inayojiweza
Awe wa miaka 20 hadi 25
Awe bikra.....
Lakini mna sahau kutafuta mwenye mapenzi ya dhati,...
Sasa unajiuliza,! Mke akiwa na sifa zote hizo ndio anayefaa hata asipokua na mapenz ya dhati?
Mwishowe mkikaa miezi mitatu mnaanza kubadilika tena, mnataka mapenzi ya dhati, mweee!... Msitarajie kupata hilo!
