Moyo wa mtu ni kichaka

Moyo wa mtu ni kichaka

Khaaaaaa hawa wanaume jamani?
Ila mimi nimempenda Angela anavyofanya kazi.
Ningemfukuza Tony nimuache Angela aendelee kukaa na mimi.
Mapenzi yao wangejijua wenyewe.
Kwakweli Angela ni binti mwenye maadili pia ni mhanga katika hili janga kama alivyo Lilian, alikuwa katika wakati mgumu sana, kumwambia Lilian story yote alishindwa kwani Tony ndiye aliyemsomesha kwa miaka miwili na ndiye mfadhili mkuu.
 
Huyu naye Sky Eclat sio wa kumwamini sana maana kila siku yeye ni stori za visa vya mapenzi vya mashosti... Yaan taabu tupu
Ninaongea visa vinavyowapata shost zangu mkuu, ulitaka niongelee habari za Simba na Yanga?
 
Kwakweli Angela ni binti mwenye maadili pia ni mhanga katika hili janga kama alivyo Lilian, alikuwa katika wakati mgumu sana, kumwambia Lilian story yote alishindwa kwani Tony ndiye aliyemsomesha kwa miaka miwili na ndiye mfadhili mkuu.
Hilo nimeliona,Lilian alitakiwa kutumia busara tu maana Angela hana kosa.

Sasa kaenda wapi huyo bint jamani?
 
Hilo nimeliona,Lilian alitakiwa kutumia busara tu maana Angela hana kosa.

Sasa kaenda wapi huyo bint jamani?
Ninawasiwasi hata kama Tony anamapenzi ya kweli kwa Angela, aliona ana maakili na alijua akimaliza shule atakua na maisha mazuri. Sifahamu kilichoendela kwa Tony na Angela lakini Liliani amechukia wanaume wote in general.
 
Ninawasiwasi hata kama Tony anamapenzi ya kweli kwa Angela, aliona ana maakili na alijua akimaliza shule atakua na maisha mazuri. Sifahamu kilichoendela kwa Tony na Angela lakini Liliani amechukia wanaume wote in general.
Hata kama ningekuwa mimi ndio Lilian lazima ningekuwa ktk hali hiyo,Tony kamtenda vibaya sana.

Ila atasahau tu,ndio maisha.
 
Tony ni Master, nimempenda bure tu.
Pongezi kwake tafadhali.

Lilian na Angela wote hawajui kuitumia hiyo Fursa, wangejipanga vizuri na kushirikiana kwa Siri, sasahivi tungekuwa tunaongelea Series ya UN Secretary Season ya 19 Episode ya 40.

Narudia tena, Tony Shikamoo nimekupenda Bure!!!
 
Tony ni Master, nimempenda bure tu.
Pongezi kwake tafadhali.

Lilian na Angela wote hawajui kuitumia hiyo Fursa, wangejipanga vizuri na kushirikiana kwa Siri, sasahivi tungekuwa tunaongelea Series ya UN Secretary Season ya 19 Episode ya 40.

Narudia tena, Tony Shikamoo nimekupenda Bure!!!
Hiyo chance ingetokea kama Angela angekuwa na ujasiri wa kumweleza Lilian kinachojiri kwakuwa Lilian alishaanza kusoma alama za nyakati angeelewa somo.
 
Halafu na ww pamoja na mashost wako mbona mnavisa vingi sana ? Kila siku ni kutype visa vya wanaume tu..
Mkuu si rahisi wanaume kuzungumza hisia zao, wengi wakitendwa wanamaliza stress zao either kwa ulevi au kujiua, sisi wanawake tunayasimulia na kulia. Ndiyo maana ni rahisi kwangu kujua visa wanatotendwa wanawake.
 
Tonny alikaa kwa miaka mingapi kwa Lilian?
 
Hiyo chance ingetokea kama Angela angekuwa na ujasiri wa kumweleza Lilian kinachojiri kwakuwa Lilian alishaanza kusoma alama za nyakati angeelewa somo.
Hasira za Lilian zimeharibu Scenario..., Angela na Tony (Master wangu) ndiyo walikuwa wanaishi uhalisia wa BigBrother.

Tony nimempenda sana, ila Angela ameniangusha kwa kutokutumia akili zake vizuri atii. Looh
 
Mkuu si rahisi wanaume kuzungumza hisia zao, wengi wakitendwa wanamaliza stress zao either kwa ulevi au kujiua, sisi wanawake tunayasimulia na kulia. Ndiyo maana ni rahisi kwangu kujua visa wanatotendwa wanawake.
Lakn ukumbuke urafiki na Mme wa mtu marufuku... Watakuja kukukaza
 
Back
Top Bottom