Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,085
- 110,793
Watu na experience zetu chief...teh[emoji28][emoji28]Aise
Watu na experience zetu chief...teh[emoji28][emoji28]Aise
Mkuu, hivyo ndivyo ninavyo kutazama kwamujibu wa maandishi yako. Na hii haijalishi kwamba utamkubali huyo mzee/babu ama lahh...Sijafanya maamuzi yoyote mkuu ni vile mzee anataka kuwa karibu sana na mimi
@hearly njoo unisaidie kama umemuelewa huyu doughtermm nilishakuaga na mtu mzma ila sio babu, alikua na kamaa 35 ivii nlikuaga najishtukia sana kua nae ika nikizoea..nilimkubaligi nikijua hana mda mrefu ataitaji familia but ikawa tofaut nikamshindwa..mi nilijua atakua proud kumiliki bint kama mm tena nisie na makuz...nikaja kujua ana mtu wana miaka 6..daah nililiaga kidogo nakumbuka. MM NILIJITOSA KWA MTU MZMA ILI NIOLEWE MAPEMA sitaki kuhangaika.iyo ni 2017
@hearly njoo unisaidie kama umemuelewa huyu doughtermm nilishakuaga na mtu mzma ila sio babu, alikua na kamaa 35 ivii nlikuaga najishtukia sana kua nae ika nikizoea..nilimkubaligi nikijua hana mda mrefu ataitaji familia but ikawa tofaut nikamshindwa..mi nilijua atakua proud kumiliki bint kama mm tena nisie na makuz...nikaja kujua ana mtu wana miaka 6..daah nililiaga kidogo nakumbuka. MM NILIJITOSA KWA MTU MZMA ILI NIOLEWE MAPEMA sitaki kuhangaika.iyo ni 2017
@hearly njoo unisaidie kama umemuelewa huyu doughter
Kwani ni mama huruma?Huruma itakuua
Asante kiongozi..Hahaha kwamba mtu mzima kwake ana alikuwa na miaka 35 aise nahisi alianza ku-date nae akiwa under 18 that's why alikuwa ana muona kuwa huyo ni mtu mzima ....
The way I know ..Umri wa kuanzia miaka 30 kwa wanaume ni umri ambao wana wake wengi ambao wapo chini ya miaka 30 huwa Wana tamani kuwa na wanaume wanaoanzia makamo hayo ' kwa sababu wanaume wengi huwa Wana kuwa wamekomaa zaidi kuakili pindi wanapo kuwa katika huo umri na huwa Wana yatazama zaidi maisha kwa jicho la tatu nikiwa na mantiki ya kuwa wana ya beba majukumu yao ipaswavyo na kuachana na mambo mengi ya kijinga ''
BTW-- aliweza vipi kujiingiza kwenye mahusiano na mtu bila ya kumchunguza kwa kina ili hayo ya kujua kuwa ana share ya siweze kumkuta. ...... the I know now days watu huwa tuna ambaiana ukweli -- kuwa mimi nimekuelewa but nina mtu wangu so kama unajiingiza katika hayo mahusiano unakuwa una jijua wazi kabisa kuwa hapa nime vamia makazi ya watu ...so kazi inakuwa kwako Usuke ama kunyoa
Asante kiongozi..
uoga wako umaskini wakoHapo atakapo ondoka duniani ndo kutakuwa na kesi
Upi tena mkuuU-ache uchoyo
Pole mkuu ...wazee wenyewe ndiyo wanataka farajaHuu uzi umenipandisha hasira!
Nimekumbuka "mpuuzi" mmoja hivi baada ya mama yetu kufariki ndio anamchuna baba huko kijijini.
Yaani mzee keshatoa maelekezo kwa mama mwenye baa kuwa huyo dada akifika hapo ale, anywe, halafu yeye anapewa tu bili.
Mbaya zaidi nasikia anamvia baba tarehe za kwenda kuchukua pension zao ndio anajifanya kuwa naye bega kwa bega.
mxewwwwiiiiiw
hahahahahaha, wazee wanabalaa hawa. wanatafuta makubwa!!Pole mkuu ...wazee wenyewe ndiyo wanataka faraja
Majibu unayo halafu unaomba ushauriTatizo hiyo sukari me ndiyo naogopa
hahahahahaha, wazee wanabalaa hawa. wanatafuta makubwa!!
Mbaya zaidi mzee wetu akiona mpunga umekata anaanza kutuambia tumtumie hela. anatoa maelekezo kwa watoto wote. Bahati nzuri wote, tuna vijishughuli vya kutupatia kipato halali.