hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Miaka 81 ?
Sasa wenye kisukari sindio watamu?
Sasa wenye kisukari sindio watamu?
Ujasiri wa wanawake ni wa kiwango cha kimataifa, unalala na mzee/babu wa 81yrs?
Wewe ni aina ya wanawake wanao kubali mtongozi hata kwa barua tu. I mean wewe hata SMS inatosha kukufanya ukubali kuliwa.
Nisipokuwa mnafiq, wewe ni mwanamke laini na rahisi sana tena mwepesi kama kipande cha tissue.
Aina ya wanawake kama wewe ni wepesi sana kudanganyika na ndio hasa wanawake ambao hujuta sana maishani mwao kwa maamuzi yao ya kukubali haraka.
Sijafanya maamuzi yoyote mkuu ni vile mzee anataka kuwa karibu sana na mimiWewe ni aina ya wanawake wanao kubali mtongozi hata kwa barua tu. I mean wewe hata SMS inatosha kukufanya ukubali kuliwa.
Nisipokuwa mnafiq, wewe ni mwanamke laini na rahisi sana tena mwepesi kama kipande cha tissue.
Aina ya wanawake kama wewe ni wepesi sana kudanganyika na ndio hasa wanawake ambao hujuta sana maishani mwao kwa maamuzi yao ya kukubali haraka.
mwambie akujengee kwanza.....hati zote ziwe na jina lako.......then mtunuku.....hana miaka mingi sana huyo uenedelee na yule sweet wako....
Soma uelewe kwanza ndiyo ucommentUjasiri wa wanawake ni wa kiwango cha kimataifa, unalala na mzee/babu wa 81yrs?
Kaongeza tu miaka ili tuone ni mzee.. Mzee mwenye miaka 81 eti anampigia simu zaidi ya mara tanoMiaka 81 ?
Soma vizuri mkuu ...usicomment kama haujaelewa
Asante mkuuUmeongea vizuri, mpe kampani tu huyo mzee, kwa umri huo na hiyo sukari hata game hawezi, sana sana atashindwa, kama unavyosema mzee amekupenda kuwa rafiki yake mpe kampani tu ataridhika.
ImagineKaongeza tu miaka ili tuone ni mzee.. Mzee mwenye miaka 81 eti anampigia simu zaidi ya mara tano