Si unaona mkuu, badala auchapishe mwendo mchepuko njia kuu yaja anatoa sababu. Mi nakuambia wanaume tuna heshimu wake zetu coz wakije michepuko inatoka. The girl would obviously rather be with mchepuko than jamaa
Hiv navoandika wana jf yupo njian anakuja dom nimemkataza kuja kalazimisha ila nimemwambia hata akija hawezi badilisha chochote
Simchongelei mwanamke mwenzangu ila kitendo cha kulala na mwanaume huyo room moja hata kama alikuwa kwenye siku zake ni kukosa heshima.kwa nn hakumlipia gest? Hata akiwa kwenye red sea automatically walikiss waliiiiiii yule akamaliza anyway fata roho yako inapenda.
Ubongo wa chini huu unatupa tabu sana!!! Ma x kukumbushiana rahisi sana hasa pale wanapokuwa waliachana kwa bahati mbaya
Kwa vile mwajitoa akili.. Acha wawagalagaze tu.. Na mtapelekwa sana.
Ha! Ha! Ha! Ukichagua mabadiliko jipange kuvumilia maumivu...
Huu ubongo haupendi maumivu... kubali maumivu hayo yana manufaa tu in the long run mate...
Kuna watu wanafanyiwa mbaya saaana na wanawake meona saaana wengine wamekuwa very dumb in every life aspects... wtf!
Mapenzi hayana phd bwasheee!! Ukiingia jiandae kupigwa tu!
Kweli bwashee,,,
Kuna ma balaaa huko we acha tu.... wapo ambao wakipigiwa wanaendelea kukomaa na kuvumilia maumivi ya hisia...
Ha! Ha! Ha!
Hadi umekuja kuomba ushauri humu ndani ni wazi kuwa hutaki kuchukua maamuzi magumu. Basi msamehe tu,
Hadi umekuja kuomba ushauri humu ndani ni wazi kuwa hutaki kuchukua maamuzi magumu. Basi msamehe tu,
Ahhaha bora hata hawa mdada yupo shule, usugu wao unamake senseKuchukua maamuzi magumu mchezo, hapo alishainvest vya kutosha tu, akikumbuka ndo anaishiwa nguvu kabisaaa!!
Halafu yale yale ya uchumba sugu, 4 years!!!!???
cc sumbai