Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
duh hata mimi siamini kama hawakunjunjana aisee.. ila huyo demu akili yake ina itilafu kuna fuse imekatika .. jaribu kumchunguza
Halafu hiyo ni story ya tukio la season moja tu, vipi siku zingine ambazo alikuwa hajui kinachoendelea?