Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

Moyo unauma, nahitaji ushauri wenu wana JF wenzangu

Ni binti nilompenda SANA nae alinipenda pia kiasi cha kuwa kwe mahusiano miaka mi4 sasa bila kusalitiana!nilikuwa msaada mkubwa sana kwake tangu alipokuwa akiishi kwenye maisha ya shida,mateso kutoka kwa mama yake wa kambo!nilikuwa mchango mkubwa sana kwake katika suala la elimu tangu amalize kidato cha sita mpaka sasa yupo chuo.Nilifanya jitihada sana kumtafutia chuo alipomaliza kidato cha sita akapata chuo MBEYA alifanikiwa kumaliza diploma nikaendelea kumpigania aendelee kusoma degree nilimuombea mkopo na kufanikiwa kupata(90%) chuo alipata MOROGORO!

Alipofika chuo alipanga chumba nje ya chuo ili apunguze gharama za maisha bahati mbaya mizigo yake aliiacha MBEYA alipokuwa akisoma diploma kwa rafiki yake wa kiume ambae sikujua kuwa alikuwa ni mpenzi wake wa zamani japo waliachana kipindi wapo kidato cha tano!Jamaa alipanga nae kumtumia mizigo yake kutoka mbeya kumpelekea morogoro anaposoma!na wakati wote huo alikuwa akiniambia kuhusu hio mizigo kumuachia huyo rafiki yake!Kumbe jamaa nae alipangiwa chuo hicho hicho anosoma mpenzi wangu japo yeye alikuwa anachukua masters!

hivo ikabidi mizigo asafiri nayo hadi MOROGORO kumpelekea!jamaa alipofika na mizigo aliipeleka chumban kwa mpenzi wangu sikujua kuwa jamaa kalala siku mbili chumba kimoja na mpenzi wangu bila hata ya kuniambia kuwa jamaa kafikia kwake!Juzi niliamua kumpigia mpenzi wangu kumwambia kuwa ntaenda kumtembelea japo alikubali ila alileta sababu kibao kuwa na kazi za chuo nyingi aloachiwa!

Wakati huo huo nadhan alimwambia jamaa kuwa nategemea kwenda ikabidi jamaa anipigie simu anielezee kila kitu nadhan sababu alishazoea kuwa nae pale ndani wivu ulimuingia ikabidi aniambie!Sikutaka kuamini maneno ya jamaa ikabidi nichunguze kwa kumpigia simu mpenzi wangu kumuuliza yupo wapi akanambia yupo nyumbani peke yake kumbe alikuwa na jamaa, kwani pia nilimpigia jamaa na kumwambia amuongeleshee mpenzi wangu ili nisikie sauti yake ni kweli kuwa jamaa alikuwa akishinda na kula pale kwa mpenzi wangu mda wote tangu afike morogoro bila ya mpenzi wangu kuniambia!

Alipoona nimegundua ikabidi anipigie simu na kuomba sana msamaha na kunieleza kuwa jamaa hakuwa na pakulala ikabidi ampe hifadhi kwa siku mbili yeye alikuwa akilala godoro la chini jamaa akilala kitandan tofauti na alivyoniambia jamaa kuwa walikuwa wakilala kitanda kimoja!
Niliumia sana kwanin anifiche kwa mda wote huo asiniambie kuwa ni mpenzi wake wa zaman na kwanin amruhusu jamaa alale chumbani kwake wakati ana rafiki zake kibao wa kiume wanaishi ndan ya hostel za chuo angeenda kumuombea pakulala!,na anavyodai hawakufanya chochote kwani jamaa alikuwa anamlazimisha sana warudiane ila alikataa sana pia alikuwa kwenye siku zake!!amelia sana nakuniomba msamaha kwa kutokuniambia ukweli ilibidi nimuulize kwanin aliamua kunificha akanambia aliona vibaya kuniambia kwani yule ni rafiki yake pia ni ujinga wake umemponza!

Mpaka sasa nipo kwe wakati mgumu katumia mpaka rafiki zake kumuombea msamaha anataka mpaka kuja dodoma kuniona ili anielezee kila kitu lakini moyo wangu unasita sana! Nilimuamini sana wala sikutaka kumbana nani wa kuwa nae rafiki lakini leo hii kweli analaa chumba kimoja na mpenzi wake wa zaman siamini kuwa hamna kitu walofanya!

Ushauri wenu wana jf wenzangu nifanyeje?

Usithubutu kumrudia achana nae kabisaaaaaaa
 
ndiyo uache kuamini hivyo

mkuu haya nmeyaona kwa macho yangu. Hata mm nmewahi kuwa mhanga. Ndio hapo nilijiapiza kuwa kamwe sitakuja kuoa mwanamke mwenye degree,diploma ama yeyote aliyepitia chuo chochote. Japo sio wote wanatabia chafu lakn walio wengi rahis zaidi kuliko hata changudoa.
 
Aisee inaumiza.. Uliza kiatuuuuu, ask my shoe <a href="https://www.jamiiforums.com/usertag.php?do=list&amp;action=hash&amp;hash=singing" target="_blank">#singing</a>
 
Huyo jamaa aliyelala na demu wako ana huruma sana
 
mpenzio ni "MAMA HURUMA",,,,, jamaa kalilia mzigo kaambiwa uje na mizigo yangu then ntakupa..........huyo keshaliwa.. mwache aendelee na jamaa yake....
 
Give yourself time brother mbaruck
Huyu mdada hayupo loyal....
Ogopa watu ambao hawapo loyal ni aina fulani ya red light....

Siezi kukushauri umuache lakini be cautious.... human being are capable of a lot..

Kama ana apologize jipe muda kisha mrudie kwa masharti yako..

Your world your rules son...maana hakuna jinsi..

I can't stand being cheated boss...

If I were you ningechapa rapa..
Lakini I can't advice you my morals and my ways!

Kila la heri!
 
Last edited by a moderator:
Aisee pole sana. Ni sehemu ya maisha ya ukubwa hiyo.
 
Mkuu ungekuwa wale watani zetu, tungekuta unaning'inia mtini zamani sana!
 
Achana naye na ujifunze :
1.unayemchagua wewe ni wa kusindikizana tu ila hata huyo.jamaa ni msindikizaji tu muhusika au wahusika wapo.
2.mtu wako yuko kwa mikono ya wengine akidhani ndio kwake....
Mwomne mungu amlete wako.salama!!!
 
Ubaya wa kuchapiwa na ex ni kuwa, 12 times outta 10 inakuwaga personal. Jamaa ana-stroke with you in his mind. Yaani he's thrashing her, but emotionally he's doing you, or he's doing with the intention of erasing your D game. Like he's making a statement that he owns that cooch. Dammit!

I'd rather take Ochocinco's best shot to my gut, than having any fool hit my girl. I'll go bananas.
 
we amua kama Rais wa awamu hii anavoamua....acha kujiliza liza tafakari chukua hatua....
 
Hiv navoandika wana jf yupo njian anakuja dom nimemkataza kuja kalazimisha ila nimemwambia hata akija hawezi badilisha chochote
 
Nayachukia Mapenzi, Nachukia kupenda na sitataka kupenda tena
 
UPDATES
Hiv navoongea wana jf yupo njian anakuja DOM kuniona nimemkataza kuja ila analazimisha!! Nimemwambia hata akija hawezi badilisha kitu chochote!!!
Ni binti nilompenda SANA nae alinipenda pia kiasi cha kuwa kwe mahusiano miaka mi4 sasa bila kusalitiana!nilikuwa msaada mkubwa sana kwake tangu alipokuwa akiishi kwenye maisha ya shida,mateso kutoka kwa mama yake wa kambo!nilikuwa mchango mkubwa sana kwake katika suala la elimu tangu amalize kidato cha sita mpaka sasa yupo chuo.Nilifanya jitihada sana kumtafutia chuo alipomaliza kidato cha sita akapata chuo MBEYA alifanikiwa kumaliza diploma nikaendelea kumpigania aendelee kusoma degree nilimuombea mkopo na kufanikiwa kupata(90%) chuo alipata MOROGORO!

Alipofika chuo alipanga chumba nje ya chuo ili apunguze gharama za maisha bahati mbaya mizigo yake aliiacha MBEYA alipokuwa akisoma diploma kwa rafiki yake wa kiume ambae sikujua kuwa alikuwa ni mpenzi wake wa zamani japo waliachana kipindi wapo kidato cha tano!Jamaa alipanga nae kumtumia mizigo yake kutoka mbeya kumpelekea morogoro anaposoma!na wakati wote huo alikuwa akiniambia kuhusu hio mizigo kumuachia huyo rafiki yake!Kumbe jamaa nae alipangiwa chuo hicho hicho anosoma mpenzi wangu japo yeye alikuwa anachukua masters!

hivo ikabidi mizigo asafiri nayo hadi MOROGORO kumpelekea!jamaa alipofika na mizigo aliipeleka chumban kwa mpenzi wangu sikujua kuwa jamaa kalala siku mbili chumba kimoja na mpenzi wangu bila hata ya kuniambia kuwa jamaa kafikia kwake!Juzi niliamua kumpigia mpenzi wangu kumwambia kuwa ntaenda kumtembelea japo alikubali ila alileta sababu kibao kuwa na kazi za chuo nyingi aloachiwa!

Wakati huo huo nadhan alimwambia jamaa kuwa nategemea kwenda ikabidi jamaa anipigie simu anielezee kila kitu nadhan sababu alishazoea kuwa nae pale ndani wivu ulimuingia ikabidi aniambie!Sikutaka kuamini maneno ya jamaa ikabidi nichunguze kwa kumpigia simu mpenzi wangu kumuuliza yupo wapi akanambia yupo nyumbani peke yake kumbe alikuwa na jamaa, kwani pia nilimpigia jamaa na kumwambia amuongeleshee mpenzi wangu ili nisikie sauti yake ni kweli kuwa jamaa alikuwa akishinda na kula pale kwa mpenzi wangu mda wote tangu afike morogoro bila ya mpenzi wangu kuniambia!

Alipoona nimegundua ikabidi anipigie simu na kuomba sana msamaha na kunieleza kuwa jamaa hakuwa na pakulala ikabidi ampe hifadhi kwa siku mbili yeye alikuwa akilala godoro la chini jamaa akilala kitandan tofauti na alivyoniambia jamaa kuwa walikuwa wakilala kitanda kimoja!
Niliumia sana kwanin anifiche kwa mda wote huo asiniambie kuwa ni mpenzi wake wa zaman na kwanin amruhusu jamaa alale chumbani kwake wakati ana rafiki zake kibao wa kiume wanaishi ndan ya hostel za chuo angeenda kumuombea pakulala!,na anavyodai hawakufanya chochote kwani jamaa alikuwa anamlazimisha sana warudiane ila alikataa sana pia alikuwa kwenye siku zake!!amelia sana nakuniomba msamaha kwa kutokuniambia ukweli ilibidi nimuulize kwanin aliamua kunificha akanambia aliona vibaya kuniambia kwani yule ni rafiki yake pia ni ujinga wake umemponza!

Mpaka sasa nipo kwe wakati mgumu katumia mpaka rafiki zake kumuombea msamaha anataka mpaka kuja dodoma kuniona ili anielezee kila kitu lakini moyo wangu unasita sana! Nilimuamini sana wala sikutaka kumbana nani wa kuwa nae rafiki lakini leo hii kweli analaa chumba kimoja na mpenzi wake wa zaman siamini kuwa hamna kitu walofanya!

Ushauri wenu wana jf wenzangu nifanyeje?

pole sana sana kwa matatizo, inauma ila ndiyo hivyo imeshatokea, msamaha mara nyingi unaweza kumbadilisha mtu na kuna kipindi unaweza kumkomaza mtu akawa msaliti aliyebobea, nasema hivyo kwa kuwa hata mimi ni mwanamke kuna kipindi yalinikuta makubwa zaidi ya hayo yako na niliposamehe nikajuta zaidi maana yalitendwa makubwa zaidi ya mwanzo. kwa hatua hiyo angalia maisha mengine
 
sometimes heri kuwa singo tu mapenzi yanazingua sana

halafu mchumba hasomeshwi wewe
 
pole sana sana kwa matatizo, inauma ila ndiyo hivyo imeshatokea, msamaha mara nyingi unaweza kumbadilisha mtu na kuna kipindi unaweza kumkomaza mtu akawa msaliti aliyebobea, nasema hivyo kwa kuwa hata mimi ni mwanamke kuna kipindi yalinikuta makubwa zaidi ya hayo yako na niliposamehe nikajuta zaidi maana yalitendwa makubwa zaidi ya mwanzo. kwa hatua hiyo angalia maisha mengine

Story yako inaendana na yangu labda, enzi hizo za 20s nilikuwa simani km ipo siku nitakuja kusalitiwa, siku nilipigiwa cm na jamaa kuwa hivi tunavoongea the string is attached in na hatuhitaji usumbufu toka kwako!

Oooh my I turned mad....baadae nilikuja kugundua kuwa kumbe usaliti upo hata kwa mtu unaempenda na mmelishana yamini!:sly:

After that I officially turned to be a very good player...sometimes nilikuwa napiga hata mademu wawili kwa cku, but with protection!

So mapenzi ni usanii fulani hivi, na hakuna madhara ya moja kwa moja mtu akikusaliti, just ni wivu wa kijinga na kutojiamini!😎
 
Unaweza kuta jamaa dada zake au/na wadogo zake hawajaenda shule kwa kuwa pesa hakuna ila ya kusomesha mchumba ipo.

Kama ni mimi, ningefuata changu kama kipo kwake na baada ya hapo kila mtu ashike hamsini zake.

Kaka usipoangalia utapa presha, maana kitacho/kitakachokuuma ni gharama tu ulizotumia kumlipia huduma za kielemu na malazi. Believe me or not, umekosa maamuzi kwa sababu hiyo huku ukisukumwa na imani ya kwamba wengine watakula matunda ya mikono yako.

Mimi binafsi nawalaumu wote, wewe na huyo binti kwa sababu hamkufuata taratibu za kiuchumba. Sijui kama mlishatambulishana makwenu, au mnaitana tu ilimladi kumaanisha mna ukaribu.
 
Back
Top Bottom