Moyo Ulioonja Maumivu


Jiwe, hivi hizi hadithi huwa unazitoa wapi?
 
Ngabu bwana hili swali unaniuliza mara ya pili ujue na mwanzo nilishakujibu

Nazitoa kwa nyemo zao la shigongo ndio mtunzi wa hizi story
Jiwe, hivi hizi hadithi huwa unazitoa wapi?
 
Ngabu bwana hili swali unaniuliza mara ya pili ujue na mwanzo nilishakujibu

Nazitoa kwa nyemo zao la shigongo ndio mtunzi wa hizi story

Oh samahani kama nimekukera. Uzee tu unanisumbua.

Nasahau sahau sana. Nisamehe tu.

Ahsante kwa kujibu.
 
Hahahhah wala haujanikera Ngabu naanzaje kukereka mm uwe na amani tu

Eti mzee una uzee gani wewe damu bado changa wazee huwajui eenh
Oh samahani kama nimekukera. Uzee tu unanisumbua.

Nasahau sahau sana. Nisamehe tu.

Ahsante kwa kujibu.
 
Theo mjalaana,hawezi kumsahau iyanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…